IBADA YA JUMATANO 17 JUNE 2026 | MAHANAIM CHURCH OF TANZANIA -GOBA

Tupo Goba njia panda ya Kinzudi jirani na shule ya Sekondari Goba au Fahari Kwa huduma ya maombi piga simu 0654356294 SIKU ZA IBADA Jumatano Saa 4:00 hadi 6:00 mchana Ijumaa saa 4:00 hadi 6:00 mchna Jumapili: Ibada ya kwanza 3:00 hadi 4:30 asubuhi Ibada ya pili saa 4:30 hadi 6:30 mchana