Waefeso Mulango wa Pili-A Praise Song

Waefeso mlango wa pili Fungu lake kumi na mbili, Hadi ishirini na mbili Rehema za Elohim Baba Nitaimba Nitaimba kwa furaha Nitasifu Nitasifu jina lake Kwa jamii ya waisraeli, sisi tulikuwa mbali hatukuwa na tumaini wala Elohim duniani Nitaimba Nitaimba kwa furaha Nitasifu Nitasifu jina lake Ulimtuma Yahshuah mwanao, Ili aje kwa upatanisho Akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga Nitaimba Nitaimba kwa furaha Nitasifu Nitasifu jina lake Elohim twakushukuru kwa rehema zako nyingi, na upendo wako mwingi Ulio tudhihirishiya Nitaimba Nitaimba kwa furaha Nitasifu Nitasifu jina lake Nitaimba Nitaimba kwa furaha Nitasifu Nitasifu jina lake