Dondoo za Ufugaji na Daktari wa Zamu
Leo, katika mwendelezo wa kipindi chetu cha Dondoo za Ufugaji na Daktari wa Zamu, timu ya wataalamu kutoka Harvest Point Limited ilifanya ziara kwa mmoja wa wafugaji wetu aliyejiunga nasi hivi karibuni. Lengo kuu lilikuwa ni kuboresha mifumo ya ufugaji ili kuhakikisha mfugaji anapata matokeo bora na ya kitaalamu. Miongoni mwa mambo muhimu yaliyoshauriwa ni: Mfumo sahihi wa taa na umuhimu wa mwanga kwa uzalishaji wa kuku wa mayai Kutenga kuku wagonjwa badala ya kuwaacha ndani ya mfumo wa cage Umuhimu wa kuweka ventilation (vents) kwenye banda kwa mzunguko mzuri wa hewa Utunzaji sahihi wa dawa na uteketezaji salama wa mabaki yake Matumizi ya footbath mlangoni na kubadilisha dawa kila baada ya siku tatu Usimamizi bora wa taka (waste management) kwa kutupa mbolea mbali na banda Tunajivunia kuwa karibu na wafugaji wetu, tukitoa siyo tu chakula bora cha kuku, bali pia maarifa ya vitendo yanayoleta matokeo halisi shambani. Jiunge nasi kila Jumamosi ujifunze zaidi kupitia kipindi chetu cha Dondoo za Ufugaji na Daktari wa Zamu 📞 Tupigie: +255 746 482 566 #DondooZaUfugaji #DaktariWaZamu #chakulachakuku #HarvestPoint

Mmoja wa wafugaji wakubwa wa kuku wa mayai

Katutubo experto sa pagtatanim ng pakwan!

JINSI YA KUTENGENEZA PESA NYINGI KWENYE UFUGAJI WA SUNGURA

Darasa la Unyeshaji sahihi wa Maji kwa kuku wa Mayai

KUTANA NA NDUGU ELIAS, KUTOKA CHANIKA. YEYE ALICHUKUA CAGES (mabanda ya kisasa) KUTOKA KPTL

He Started with 500 birds and Now He has over 100,000 layer birds. The story of Mr Basangwa Johnson

Kilimo Almasi | Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

Kuku la Taifa ni Kuku Kienyeji: Focus on improved kienyeji chicken farming

PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

Bi Rauhiya VD12

MFUGAJI KUTOKA UNGUJA

RATS GONE FOR $2... The Secret AMISH WAY (100% Effective)

Harvesting Turkeys After 300 Days of Raising Them and Transporting Them to Village Market to Sell

HĂĽhnerhof statt Studium: Lisas Leben als junge Landwirtin mit 900 HĂĽhnern | SWR Heimat

I Wish I Knew These 5 Things Before Starting My Chicken Farm | Bitter Truth

How He Became The BEST Dorper Sheep Farmer in Kenya

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #8 #adamrose #smartworkers

From Deportation to Millions: Robert’s Journey from Qatar to Poultry Farming in Uganda

