IPM ASEMA SIRI YA MAFANIKIO YA CHIEF GOODLOVE, KAFARA NA KIUMBE,,MZKINFO

PROPHET IPM AMETANGAZA KUFANYA KAFARA YA KUCHINJA PASAKA – TEGETA MBUYUNI, DAR ES SALAAM Prophet IPM ametangaza rasmi kufanyika kwa ibada maalum ya Kafara ya Kuchinja Pasaka, itakayofanyika Jumamosi hii katika eneo la Tegeta Mbuyuni, jijini Dar es Salaam. Ibada hii ni ya kipekee, ikilenga kutoa kafara ya kiroho kwa ajili ya ulinzi, funguo za baraka, na upako wa Pasaka. 📍 Mahali: Tegeta Mbuyuni – Dar es Salaam 🗓️ Siku: Jumamosi 🕐 Muda: Saa 1:00 Asubuhi (Tafadhali zingatia muda) ➡️ Ukiwa Mbuyuni, chukua pikipiki au bajaji, mwambie dereva: "Naenda kwa Prophet IPM" 📞 Simu ya mawasiliano: +255 749 938 686 ⚠️ Hakuna ubaguzi wa dini wala kabila – kila mtu anakaribishwa. ✝️ Watu wote ni wa Mungu. 🔥 Hatusemi – TUNAFANYA! Njoo ushuhudie nguvu ya Mungu katika ibada hii ya kipekee. #MzeeWamikitoDigital #WamikitoDigital #MZKINFO #KafaraYaPasaka #ProphetIPM #TegetaMbuyuni #IbadaMaalum #Pasaka2025 #BreakingMinistryNews #HudumaZaKiprofeta #WatuWoteNiWaMungu