'Niliteuliwa nikiwa mwaka wa pili chuoni sitasahau maishani'
Katika mfululizo mpya wa makala kuhusu vijana walio chini ya miaka 30 tunaangazia vijana waliofanya vizuri na wanaoendelea kufanya vizuri katika teknolojia, siasa na kijamii kwa nchi za Afrika Mashariki na leo tunae Bi Zainab Abdallah ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo. Akiwa na umri wa miaka 23 ndipo aliaminiwa kufanya kazi kubwa ya kumuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mkuu wa Wilaya. Licha ya hilo hakusita kukumbatia kipaji alicho nacho cha utunzi na ughani wa mashairi ambacho kimempa umaarufu mkubwa hasa siku za hivi karibuni. #bbcswahili #tanzania #wanwake #talanta #uongozi

▶︎
MTOTO WA MAMA SAMIA: SITAMANI KUONEKANA MTOTO WA RAIS / NAUMIA MZAZI AKITUKANWA, MWENYEKITI MIF

▶︎
MKUU WA WILAYA ALIA KWA UCHUNGU HUKU AKISIMULIA HISTORIA YA MAISHA YAKE

▶︎
Jengo la Boma Pangani: "Jengo lina maajabu, ikishaingia giza unanza kusikia harufu wa wali."

▶︎
MAMILIONI YALIVYOKUSANYWA AKIWEMO RAISI MAMA SAMIA, HARUSI YA MAGOTI

▶︎
EXCLUSIVE: CHIDI BENZ AKAA NA MILLARD AYO, ASIMULIA YOTE "NILIKUWA NALIPWA 4M, WATU WANA ROHO MBAYA"

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
JORAMU NKUMBI - The Best Speech- Hotuba bora Kabisa

▶︎
Zainab Abdallah, Mkuu wa wilaya mdogo kuliko wote Tanzania

▶︎
MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

▶︎
EMS ነገሩ በየአቅጣጫው ከፍቷል! እለታዊ የህዝብ መድረክ Sat 27Jun 2026

▶︎
PLO LUMUMBA: Truth About Half-Naked Xenophobic Vigilantes in South Africa, New Scramble for Africa

▶︎
WARIDI WA BBC

▶︎
WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

▶︎
Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'

▶︎
EXCLUSIVE: MKE WA MC GARA B AFUNGUKA MIAKA 7 YA NDOA YAO, WALIPOKUTANA, WALIYOPITIA NA MENGINE.

▶︎
MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7

▶︎
Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

▶︎
