IBADA MAALUM ya KUMUOMBEA HAYATI MAGUFULI - MIAKA MIWILI BAADA ya KIFO CHAKE...
IBADA MAALUM ya KUMUOMBEA HAYATI MAGUFULI - MIAKA MIWILI BAADA ya KIFO CHAKE... Ibada maalum ya kumuombea mwaka wa pili wa kifo chake aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli imefanyika katika Kanisa la Mtakatifu Yohana Maria Muzeyi Parokia ya Mlimani, Chato, Geita ikiongozwa na Askofu Mkuu Jimbo la Katoliki la Rulenge, Ngara, leo Ijumaa Machi 17, 2023. Mjane wa Marehemu, Mama Janeth Magufuli ameongoza wanafamilia. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigella, Mjumbe wa NEC-CCM Zanzibar upande wa vijana, Mwanaenzi Suluhu Hassan na viongozi wengine wa mkoa na wilaya wamehudhuria ibada hiyo. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

The Sagrada Familia explodes with light: the stunning performance Pope Leo witnessed in Barcelona

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

RC CHALAMILA AFIKA TFF - ''NIMESIKIA PESA ZIMEKUJA NIMEKUJA KUZIONA - NIWE SHAHIDI''...

LIVE: Pope Leo XIV celebrates Mass at Sagrada Familia Basilica in Spain

Duh! MAGUFULI Raises Money for HIS WIFE "You've Made Me a Priest, Come and Donate"

Juma Lokole afunguka Diamond kumfukuza Diva kazi Wasafi Media| Hakuna anayemtaka| Hasara kubwa sana

Mjadala mkali waibuka kuhusu safari za nje za Rais William Ruto yana manufaa gani kwa Wakenya

KARDINARI PROTASE RUGAMBWA AONGOZA MAMIA YA WAKRISTO KUOMBEA UMOJA WA KIKRISTO TZ - 2026

This unusual philosopher will put an end to 10 years of separation

"WAMEWAHADAA WATANZANIA" - MAMBO MATANO ya MBUNGE ADO KUELEKEA BAJETI KUU ya SERIKALI..

Departure from Madrid to Barcelona

New York Times drops BOMBSHELL about Trump officials filing into Situation Room over Epstein files

AHMED ALLY:NI KWELI FEI TOTO TUNAMTAMANI SANA/ TUNAWAHESHIMU AZAM / UKWELI WACHEZAJI KUTOLIPWA

SIKU RAIS MAGUFULI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ROSTAM AZIZ- "UTAKUMBUKWA KWA MENGI MAZURI"

Tanzania's President Unveils Ambitious Energy, Mining and Infrastructure Plans at SPIEF 2026 | AC1G

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

Epstein Files Fallout: NYT details Trump admin's 'freakout'

Watch: Xi Jinping arrives to grand welcome in Pyongyang for state visit to DPRK

ISHA MASHAUZI AFUNGUKA KUTOKA KIMAPENZI na MZEE YUSUPH - ''SIPENDI KUULIZWA - SIOGOPI KUCHUKULIWA''

