KIONGOZI MBIO ZA MWENGE WA UHURU AKOSHWA NA MRADI WA WODI MAALUM YA WAGONJWA HOSPITALI YA MKOMAINDO

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndg. Wazo Michael Mwang’onda amekoshwa na mradi wa ujenzi wa wodi maalum ya wagonjwa (VIP) katika Hospitali ya Mkomaindo. Mradi huu utagharimu jumla ya Tsh 170,136,516.79 hadi kukamilika kwake ambazo zote zitatoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri. “Mradi huu ni wa kujivunia sana kwa sababu kutakua na huduma maalum kwa wananchi wa Masasi na maeneo ya jirani. Niashukuru sana Serikali kwa mradi huu ambao ni mfano wa kuigwa kwa Ukanda wa Kusini. Nampongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Pamoja na Mganga Mkuu wa Halmashauri kwa usimamizi wao thabiti ambao umeleta ubora huu”, alisema Ndg. Mwang’onda na kuongeza; “Niwaombe tuendelee kulinda amani yetu na mshikamano ili tuwe na mazingira mazuri na wezeshi ya kujenga miradi kama hii nchi nzima”. Naye Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi alisema ujenzi wa wodi hiyo ni mkakati madhubuti wa Serikali kuendelea kuboresha sekta ya afya. “Niwapongeze sana wana Masasi kwa mradi huu wa kipekee, sekta ya afya ni eneo muhimu ambalo Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kutilia mkazo na uwepo wa miradi hii ni kiashiria cha muendelezo wa juhudi za kuboresha huduma za afya nchini”, alisema Mhe. Kanali Msengi. Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Masasi Dkt. Rosemary Mushi alisema; “Mradi huu una unalenga kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa wanaolazwa hospitalini kwa kuwezesha uwepo wa wodi nzuri ya kisasa na yenye hadhi, kuongeza mapato ya hospitali na Halmashauri kwa ujumla na kuwaondolea adha wananchi ya kufuata huduma hiyo katika hospitali zilizo mbali”.

MSIBA: MAJONZI NA SIMANZI KUFARIKI MZEE ONYANGO, MTOTO WAKE NA RAFIKI YAKE WAZUNGUMZA
▶︎

MSIBA: MAJONZI NA SIMANZI KUFARIKI MZEE ONYANGO, MTOTO WAKE NA RAFIKI YAKE WAZUNGUMZA

KARIBU MWENGE WA UHURU 2026 HALMASHAURI YA MJI MAFINGA
▶︎

KARIBU MWENGE WA UHURU 2026 HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

HISTORI YA MASASI #MASASIONE_ONLINETV
▶︎

HISTORI YA MASASI #MASASIONE_ONLINETV

ASKOFU ALMAS NA WAUMINI WAELEZA MAISHA BILA Rev Fr KAWAJUMO/WAKILI PENGO LAKE KUTOZIBIKA
▶︎

ASKOFU ALMAS NA WAUMINI WAELEZA MAISHA BILA Rev Fr KAWAJUMO/WAKILI PENGO LAKE KUTOZIBIKA

WAZIRI MKUU ANAZINDUA GHALA LA FORODHA
▶︎

WAZIRI MKUU ANAZINDUA GHALA LA FORODHA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Halmashauri ya Mji wa Masasi kujenga stendi kuu eneo la TUKULA
▶︎

Halmashauri ya Mji wa Masasi kujenga stendi kuu eneo la TUKULA

"There Are Millions of Secret Banyarwanda in Uganda" — Dr. Lawrence Muganga
▶︎

"There Are Millions of Secret Banyarwanda in Uganda" — Dr. Lawrence Muganga

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV
▶︎

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

Heche Ajibu Mapigo Kauli za Ally Hapi: 'Hajui Hata Katiba, Ni Mropokaji Tu'
▶︎

Heche Ajibu Mapigo Kauli za Ally Hapi: 'Hajui Hata Katiba, Ni Mropokaji Tu'

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

CULTURE SHOCKS!!! 7 Things in Kenya That Shocked Me as a Nigerian 🇰🇪😳
▶︎

CULTURE SHOCKS!!! 7 Things in Kenya That Shocked Me as a Nigerian 🇰🇪😳

TAHARUKI: CCTV YANASA MABAUNSA WAKIDAIWA KUONDOKA NA MAGETI, WANANCHI WAILILIA SERIKALI IINGILIE
▶︎

TAHARUKI: CCTV YANASA MABAUNSA WAKIDAIWA KUONDOKA NA MAGETI, WANANCHI WAILILIA SERIKALI IINGILIE

MWENYEKITI WA UVCCM WILAYA YA MASASI AWATIA MOYO VIJANA WANAOJITOLEA KUKARABATI MADAWATI MASHULENI
▶︎

MWENYEKITI WA UVCCM WILAYA YA MASASI AWATIA MOYO VIJANA WANAOJITOLEA KUKARABATI MADAWATI MASHULENI

WATU WANNE WAFARIKI KWA AJALI MASASI | DC KASANDA AWATEMBELEA MAJERUHI HOSPITALINI
▶︎

WATU WANNE WAFARIKI KWA AJALI MASASI | DC KASANDA AWATEMBELEA MAJERUHI HOSPITALINI

UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA SUNUKA WILAYANI UVINZA
▶︎

UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA SUNUKA WILAYANI UVINZA

Tani 1.8 za samaki zavuliwa  mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba wa wanufaika wa TASAF
▶︎

Tani 1.8 za samaki zavuliwa mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba wa wanufaika wa TASAF

GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA,TETESI ZA NDUMBA, MAJI YA MAITI, MAFANIKIO AELEZA
▶︎

GUMZO CHAKULA CHA MAMA NTILIE KARIAKOO KUGOMBANIWA,TETESI ZA NDUMBA, MAJI YA MAITI, MAFANIKIO AELEZA

JINSI MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN INAVYOTATUA MIGOGORO MINGI/WADAU WATOA PONGEZI
▶︎

JINSI MAMA SAMIA LEGAL AID CAMPAIGN INAVYOTATUA MIGOGORO MINGI/WADAU WATOA PONGEZI