Maadili katika Kanisa - E. Ogeda

Kwaya ya Mt. Theresia wa Mtoto Yesu wakiimba wimbo wa Mtunzi mahiri wa muziki Mtakatifu E. Ogeda ujulikanao kwa jina la Maadili katika Kanisa live kutoka Parokia ya Mkuranga waliopotembelea ikiwa ni safari ya Uinjilishaji. Ungana nasi katika safari hii ya Uinjilishaji kupitia Mitandao mbalimbali ya Kijamii ili Injili iwafikie wengi iwezekanavyo. Waimbaji: Kwaya Mt. Theresia Kinanda: Wilson Myovela Mtiribu: Yasinta Joseph Mkuranga Parish, Jimbo Kuu Dar es Salaam #jimbo #kwayakatoliki #live