Babalevo akabidhiwa Ambulance mpya kwaajili ya Kigoma Mjini naomba sana Itunzwe 'Mimi ni chawa wa..'

Leo, Novemba 29, Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, @officialbabalevo, amepokea gari mpya ya kubebea wagonjwa (Ambulance) kwa niaba ya wananchi wa Kigoma Mjini. Ambulance hiyo imekabidhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Maweni, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya afya nchini. Akizungumza mara baada ya makabidhiano hayo, Baba Levo amewaomba wananchi pamoja na watumishi wa hospitali hiyo kutunza na kuitumia ambulance hiyo kwa uadilifu na weledi ili iweze kutoa huduma bora kwa wananchi wote wanaohitaji msaada wa dharura. Aidha, Mbunge huyo ameongeza kuwa Serikali ina mpango wa kuongeza magari mengine ya kubebea wagonjwa ifikapo mwaka ujao, ili kuendelea kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wa Kigoma Mjini na mkoa kwa ujumla.

BABA LEVO APIGWA MASWALI NA WANANCHI WA KIGOMA"MIKATABA YA BUNGENI NI YA KINGEREZA NA HUJUI" ...
▶︎

BABA LEVO APIGWA MASWALI NA WANANCHI WA KIGOMA"MIKATABA YA BUNGENI NI YA KINGEREZA NA HUJUI" ...

DIAMOND ATUA KIGOMA KUFUNGA KAMPENI ZA BABA LEVO LEO
▶︎

DIAMOND ATUA KIGOMA KUFUNGA KAMPENI ZA BABA LEVO LEO

BABALEVO AONGEA KWA UCHUNGU SANA KUMUOMBA NEC KUWASAIDIA KIGOMA MJINI KUHUSU AHADI ALIZOAHID
▶︎

BABALEVO AONGEA KWA UCHUNGU SANA KUMUOMBA NEC KUWASAIDIA KIGOMA MJINI KUHUSU AHADI ALIZOAHID

NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"
▶︎

NYUMBANI KWA RAIS WA NAMIBIA MAGOMENI DSM, MAJIRANI ALIOISHI NAO WAFUNGUKA "ALIOLEWA HAPA HAPA"

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA
▶︎

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

#EXCLUSIVE:VICKY wa PROFESSOR JAY AFUNGUKA SIRI NZITO KUFANYA VIDEO ya ZALI la MENTALI,AMTAJA KAJALA
▶︎

#EXCLUSIVE:VICKY wa PROFESSOR JAY AFUNGUKA SIRI NZITO KUFANYA VIDEO ya ZALI la MENTALI,AMTAJA KAJALA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Umugore winjiye mu mashyamba ya DRC agatahana Gen RWARAKABIJE na NGENDAHIMANA//Hon.Anne Marie
▶︎

Umugore winjiye mu mashyamba ya DRC agatahana Gen RWARAKABIJE na NGENDAHIMANA//Hon.Anne Marie

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

MAPOKEZI YA KATIBU WA NEC MUENEZI KIHONGOSI, BABA LEVO AONGOZA MSAFARA KIGOMA
▶︎

MAPOKEZI YA KATIBU WA NEC MUENEZI KIHONGOSI, BABA LEVO AONGOZA MSAFARA KIGOMA

🔴#LIVE: NI BALAA WANANCHI WAFURIKA KUMPOKEA HECHE MPANDA
▶︎

🔴#LIVE: NI BALAA WANANCHI WAFURIKA KUMPOKEA HECHE MPANDA

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass
▶︎

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

Traffic jam. WITHOUT emergency corridor! :(  This failure will be more expensive in Germany in 2021!
▶︎

Traffic jam. WITHOUT emergency corridor! :( This failure will be more expensive in Germany in 2021!

MZEE SAID!YANGA HAKUNA WA KUMZUIA UBINGWA SIMBA TUJIPANGE MSIMU UJAO/HUWEZ KUMFUNGA YANGA MARA MBILI
▶︎

MZEE SAID!YANGA HAKUNA WA KUMZUIA UBINGWA SIMBA TUJIPANGE MSIMU UJAO/HUWEZ KUMFUNGA YANGA MARA MBILI

WAZIRI MKUU ATAMKA RASMI KIGOMA KUPANDA HADHI, RAIS AMENIAMBIA NIWAAMBIE HILO, WATENDAJI KUBADIRIKA
▶︎

WAZIRI MKUU ATAMKA RASMI KIGOMA KUPANDA HADHI, RAIS AMENIAMBIA NIWAAMBIE HILO, WATENDAJI KUBADIRIKA

FATHER LEVO ANSWERS TO KIGOMA PEOPLE FOR EVIDENCE HE CONTRADICTS THE GOVERNMENT ABOUT THE KATUBUK...
▶︎

FATHER LEVO ANSWERS TO KIGOMA PEOPLE FOR EVIDENCE HE CONTRADICTS THE GOVERNMENT ABOUT THE KATUBUK...

160 KG VILLAGE MONSTER - The ANOMALY Nobody Can Explain - SUPERHUMAN ANDREY SMAEV
▶︎

160 KG VILLAGE MONSTER - The ANOMALY Nobody Can Explain - SUPERHUMAN ANDREY SMAEV

30 Real Life Superheroes | Random Acts of Kindness That Will Make You Cry #8
▶︎

30 Real Life Superheroes | Random Acts of Kindness That Will Make You Cry #8

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥