Tanapa yakamata ng'ombe 300 bonde la Usangu usiku wa mananee
Wakati kila jitihada zikifanywa kwa ajili ya kunusuru uhifadhi katika Bonde la Usangu na Hifadhi ya Ruaha , shughuli za binadamu kama vile mifugo na uvuvi, zimeendelea kufanywa usiku wananchi wakihisi kuwa majira hayo askari wanakuwa hawapo mbugani. Kufuatia hatua hiyo Tanapa imebaini njama hiyo na tayari Ng'ombe zaidi ya 300 wamekamatwa kwenye Hifadhi ya Ruaha katika Bonde la Usangu /Ihefu Novemba 07, 2022 majira ya saa mbili usiku huku wafugaji wakiamini askari wa uhifadhi watakuwa wamelala.

▶︎
TAHARUKI ILIYOTOKEA MBEYA YAMALIZWA, MZEE ALIYEINGIZA ZAIDI YA NG'OMBE 500 HIFADHINI ARUDISHIWA

▶︎
JANGILI SUGU ATUHUMIWA KUMUUA ASKARI WA TANAPA, ADAKWA...!!

▶︎
SHUHUDIA KINACHOWAKUTA WAVUNAJI WA MPUNGA BONDE LA USANGU

▶︎
MOROGORO ya waka moto migogoro ya wakulima na wafugaji.

▶︎
WANAWAKE WAKIMBIA MIJINI ''DILI'' LIPO USANGU

▶︎
WAZIRI MKUU MAJALIWA NDANI ya HELIKOPTA AKIFANYA UKAGUZI HIFADHI YA USANGU, IHEFU na KAPUNGA...

▶︎
Wananchi Mbarali Wafunguka Sakata la Kufukuzwa Eneo la Hifadhi ya Taifa Ruaha

▶︎
Uzuri wa Nyerere National Park I Uwanja wa Vita na Kaburi Ndani Yake

▶︎
VIVUTIO VYA UTALII MKOANI IRINGA

▶︎
TAZAMA BIASHARA YA KUNENEPESHA NG'OMBE INAVYO MTAJIRISHA MFUGAJI HUYU

▶︎
HIFADHI YA TAIFA RUAHA HATARINI

▶︎
Mangombe lupondeja

▶︎
Mfugaji alielipa faini ya MILIONI 17 kwa Kadi ili Ng'ombe zake ziachiwe

▶︎
WAFUGAJI WAGOMEA KUZIKA MWILI SIKU YA 7, CCM YAINGILIA KATI.

▶︎
Nape Iringa: Lowassa hajawahi kufanya kazi bila kuiba

▶︎
Kasheshe Mkoani Iringa, Mama anadai Jeshi la Polisi

▶︎
UHARIBIFU BONDE LA USANGU,IHEFU NI PIGO KWA TAIFA

▶︎
WAFUGAJI WAWASHAMBULIA WAHIFADHI TANAPA KWA SILAHA ZA JADI, , MAELFU YA MIFUGO YAVAMIA HIFADHI.

▶︎
UJERUMANI YA MWAGA MAGARI TANAPA KUSAIDIA SHUGHULI ZA UHIFADHI

▶︎
