IBADA YA MORNING GLORY TAREHE 13/05/2026 | KMT-JKM USHIRIKA WA IYUNGA

Tujifunze kuwaheshimu watu kwasababu Mungu anatumia watu katika kufanya kila jambo. Tukumbuke kila mtu aliye mfano wa Mungu anathamani machoni pa Mungu naye hajamaliza kuumba watu anaweza kumbadilisha mtu yeyote kukaa kwenye nafasi yoyote. Mungu hatikei nyumbani mwetu hivyo tujifunze kuwathamini watu ili kupata baraka za Mungu