RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOTUMIKA KUSAFIRISHA KOROSHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Novemba, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyoandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho za wakulima endapo wanunuzi binafsi hawatatii maagizo ya Serikali ifikapo Jumatatu tarehe 12 Novemba, 2018 saa 10:00 Jioni. Mhe. Rais Magufuli amefanya ukaguzi huo katika Kambi ya Jeshi ya Twalipo, Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ Mgulani Jijini Dar es Salaam ambapo magari 75 yenye uwezo wa kubeba tani 1,500 kwa mpigo yameandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani na Tanga.

MAGUFULI AFUNGA MJADALA WA KOROSHO, ATOA MAAGIZO YA BEI
▶︎

MAGUFULI AFUNGA MJADALA WA KOROSHO, ATOA MAAGIZO YA BEI

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza
▶︎

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI  NACHINGWEA NA MASASI .
▶︎

ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NACHINGWEA NA MASASI .

GWARIDE LA KIJESHI LIKIPITA MBELE YA MAGUFULI
▶︎

GWARIDE LA KIJESHI LIKIPITA MBELE YA MAGUFULI

Ifahamu Historia ya Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda | Rais Amtunuku Nishati ya Miaka 60 JWTZ
▶︎

Ifahamu Historia ya Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda | Rais Amtunuku Nishati ya Miaka 60 JWTZ

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

MKUU WA MAJESHI WA KWANZA TANZANIA APEWA GARI JIPYA LA KISASA NA SERIKALI,ATAJA GARI LA KWANZA..
▶︎

MKUU WA MAJESHI WA KWANZA TANZANIA APEWA GARI JIPYA LA KISASA NA SERIKALI,ATAJA GARI LA KWANZA..

South Sudanese soldier puts Museveni on the spot as the President tackles 15 tough questions- Kimaka
▶︎

South Sudanese soldier puts Museveni on the spot as the President tackles 15 tough questions- Kimaka

RAIS DKT MAGUFULI AKIZINDUA  JENGO LA MAKAO MAKUU YA  TARURA ENEO LA MJI WA SERIKALI - MTUMBA
▶︎

RAIS DKT MAGUFULI AKIZINDUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA ENEO LA MJI WA SERIKALI - MTUMBA

Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali
▶︎

Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

Opening Speech for World Maritime Day
▶︎

Opening Speech for World Maritime Day

LIVE: KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA TANZANIA, JOHN MAGUFULI - 05/11/2020
▶︎

LIVE: KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA TANZANIA, JOHN MAGUFULI - 05/11/2020

LIVE ; RAIS DKT MAGUFULI AKIWAKABIDHI  MARAIS WASTAAFU NDEGE AINA YA TAUSI IKULU YA CHAMWINO DODOMA
▶︎

LIVE ; RAIS DKT MAGUFULI AKIWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU NDEGE AINA YA TAUSI IKULU YA CHAMWINO DODOMA

LIVE:  Ijambo rya Perezida Kagame mu Nama nyunguranabitekerezo ku mateka ya Jenoside
▶︎

LIVE: Ijambo rya Perezida Kagame mu Nama nyunguranabitekerezo ku mateka ya Jenoside

RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
▶︎

RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA

Ethiopia is About to Explode.
▶︎

Ethiopia is About to Explode.

MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI
▶︎

MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI

President Dr. Magufuli and the Police Force in Dodoma
▶︎

President Dr. Magufuli and the Police Force in Dodoma

Rais Magufuli amwaga ajira JWTZ
▶︎

Rais Magufuli amwaga ajira JWTZ

NASELJE HEROJA:BITKE ZA SOKOLJE
▶︎

NASELJE HEROJA:BITKE ZA SOKOLJE