RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOTUMIKA KUSAFIRISHA KOROSHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Novemba, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyoandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho za wakulima endapo wanunuzi binafsi hawatatii maagizo ya Serikali ifikapo Jumatatu tarehe 12 Novemba, 2018 saa 10:00 Jioni. Mhe. Rais Magufuli amefanya ukaguzi huo katika Kambi ya Jeshi ya Twalipo, Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ Mgulani Jijini Dar es Salaam ambapo magari 75 yenye uwezo wa kubeba tani 1,500 kwa mpigo yameandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani na Tanga.

▶︎
MAGUFULI AFUNGA MJADALA WA KOROSHO, ATOA MAAGIZO YA BEI

▶︎
Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

▶︎
ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NACHINGWEA NA MASASI .

▶︎
GWARIDE LA KIJESHI LIKIPITA MBELE YA MAGUFULI

▶︎
Ifahamu Historia ya Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda | Rais Amtunuku Nishati ya Miaka 60 JWTZ

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
MKUU WA MAJESHI WA KWANZA TANZANIA APEWA GARI JIPYA LA KISASA NA SERIKALI,ATAJA GARI LA KWANZA..

▶︎
South Sudanese soldier puts Museveni on the spot as the President tackles 15 tough questions- Kimaka

▶︎
RAIS DKT MAGUFULI AKIZINDUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA ENEO LA MJI WA SERIKALI - MTUMBA

▶︎
Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

▶︎
Opening Speech for World Maritime Day

▶︎
LIVE: KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA TANZANIA, JOHN MAGUFULI - 05/11/2020

▶︎
LIVE ; RAIS DKT MAGUFULI AKIWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU NDEGE AINA YA TAUSI IKULU YA CHAMWINO DODOMA

▶︎
LIVE: Ijambo rya Perezida Kagame mu Nama nyunguranabitekerezo ku mateka ya Jenoside

▶︎
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA

▶︎
Ethiopia is About to Explode.

▶︎
MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI

▶︎
President Dr. Magufuli and the Police Force in Dodoma

▶︎
Rais Magufuli amwaga ajira JWTZ

▶︎
