VIJANA WA BBT WAMETELEKEZWA? SILINDE AFUNGUKA KWA UCHUNGU "HAKUNA ATAKAYETUKATISHA TAMAA"
Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde amejibu hoja inayojwakuwa vijana wa BBT wametelekezwa kwa madau kuwa wengi wao hawajapatiwa maeneo ya shughuli za kilimo baada ya kumaliza mafunzo yao. Silinde amesema vijana zaidi ya 400 wanaotarajiwa kwenda shamba la Ndogowe wameshindwa kwenda kutokana na uharibishi wa miundombinu ikiwemo barabara zimekuwa zinatengenezwa na TARURA kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea eneo hilo kushindwa kufikika. Silinde amejibu hoja hiyo alipokuwa akizungumza na vijana wa jenga kesho iliyo bora (BBT) katika eneo la Chinangali two yaliko mashamba ya mradi huo ambapo amesema Serikali ilipanga kuanza uzalishaji wa mboga mboga mara tu wanufaika watakapowasili katika shamba hilo hata hivyo kutokana na kupitiliza kwa msimu wa uzalishaji wa mazao hayo vijana hao wataanza na zao la Alizeti wakati wakisubiri msimu mwingine wa kilimo cha mazao ya mboga mboga (horticulture).

KILIMO CHA PARACHICHI

AJENDA 1030 - MRADI WA BBT (BUILDING A BETTER TOMORROW) | MAANDALIZI YA BLOCK FARMS DODOMA

KIJANA ALIYE HUDHURIA MAFUNZO YA KILIMO NCHINI ISRAEL AELEZA ANAVYOUSEPESHA UMASKINI.

TANESCO YAFAFANUA UMEME ULIVYOKATIKA NCHI NZIMA "MAENEO MATATU NA KITUO YALIPATA HITILAFU"

Namna Dkt. Nawanda alivyobadili wafugaji Simiyu kupitia Unenepeshaji

BBT TUKILIMA TUTAUZA WAPI? | AU YALE YALE YA KILIMO CHA MATIKITI? | VIJANA WACHARUKA MJADALA MKALI

MRADI wa BBT CHINANGALI: VIJANA 118 WAMEKOPESHWA MIL 950 KUTUMIKA KWENYE KILIMO CHA MBOGAMBOGA...

PANYA WEUPE WAGEUKA FURSA KIBIASHARA, WATAMU KAMA MAMBA, WATEJA MASHULENI, MWITA NILIANZA NA WATATU

MAKALA BBT - LIFE MIFUGO (AGRF 2023)

FUATILIA KINACHO ENDELEA KWA VIJANA WA BBT KATIKA VITUO VYAO ATAMIZI VYA KILIMO.

Kwa uchungu MAKONDA afichua ukweli wote, MAKONTENA yake yaliyokamatwa kipindi cha MAGUFULI

Vijana waliochaguliwa kujiunga na mradi wa BBT wafunguka

🔴#LIVE: MINYAMA INAPAKULIWA SHAMBANI NDANI YA BBT CHINANGALI DODOMA

VIKINGS ROW SIRI YA USHANGILIAJI NORWAY, YAWAKOSHA WAPENZI WA SOKA ULIMWENGUNI

Bashe Aonyesha Msimamo Bungeni I Wabunge Wamuunga Mkono I Wakulima Msikilizeni Bashe

MAMBO YA KUZINGATIA KWA KILIMO BORA CHA VITUNGUU MAJI 2021

Vijana 56 waingia mitini mradi wa BBT

TADB na programu ya kilimo biashara kwa vijana ‘Building a Better Tomorrow’ (BBT)

DAVID SILINDE: CCM WAMENINUNUA/ CHADEMA, WAMEUMIA SANA/ TULIKUWA TUNAFURAHI WATU WAKIFA

