UJENZI JENGO LA ABIRIA AIRPORT MTWARA MIKATABA YASAINIWA
Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema serikali ya awamu ya Sita imedhamiria na kuendelea kutenga fedha ili kujenga miradi ya sekta ya uchukuzi ukiwamo kiwanja cha ndege cha Mtwara, ambacho kinafanyiwa maboresho. Amezungumza hayo leo Aprili 29, 2024 mjini Mtwara, katika hafla ya kutia saini mikataba ya ujenzi wa jengo la abiria, vituo vya zimamoto, hali ya hewa na mnara wa kuongezea ndege, iliyofanyika uwanja wa ndege wa Mtwara. KhomeinTvUpdates ✍️ Juma Mohamed 🗣️ Ramla Masali PIA USIACHE KU SUBSCRIBE CHANEL YETU Khomein TV YOUTUBE UWE WA KWANZA KUFIKIWA NA HABARI ZETU Follow Insta @khomeintv_ Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok @khomeintv na Facebook Khomein Tv

▶︎
MPINA AONGEZEWE ULINZI AFUNGUKA MAZITO YANAYOENDELEA NCHINI "TUNAENDA MAHAKAMANI"

▶︎
IFAHAMU HISTORIA YA MJI WA MIKINDANI ULIOPO NDANI YA MKOA WA MTWARA NA YALIYOPO SASA

▶︎
Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

▶︎
BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

▶︎
SIRI YA BANDARI YA MTWARA KUFANIKIWA KIBIASHARA

▶︎
WAITARA AIBUA MAPYA KUHUSU FATMA KARUME/AMEWANDANGA WENGI"YULE KIJANA NI MUONGO NA MBINAFSI"

▶︎
SERIKALI YA TANZANIA KUJENGA BANDARI MPYA YA KISIWA-MGAO MTWARA | MRADI WA BILIONI 434.5

▶︎
JUA JINSI MAKAA YA MAWE, YANAVYOTENGENEZWA KWENYE BANDARI YA MTWARA NA YANAVYOSAFIRISHWA..

▶︎
Inside the Largest Wood Sawmill Factory – How Plywood Is Made From Logs to Table (Full Process)

▶︎
''HUYU SAMAKI ANAMWAGA MAJI MTWARA WAKATI MTWARA VIJIJINI HAWANA MAJI ya KUNYWA'' - MBUNGE PREMJI

▶︎
SAFARI ZA MELI YA ABIRIA MTWARA-COMORO KUANZA

▶︎
Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

▶︎
ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 1,000 KUHAMIA SOKO JIPYA LA KAWE DAR

▶︎
Miaka 5 ya Mabadiliko Mtwara.

▶︎
BILIONI 18.6 ZATUMIKA MABORESHO NA UPANUZI WA BANDARI YA MWANZA KASKAZINI

▶︎
#TBC1: WEKEZA TANZANIA: KUMEKUCHA BANDARI YA MTWARA BAADA YA UWEKEZAJI

▶︎
Fundi magari mwanamke Mtwara

▶︎
WAZIRI MBARAWA ATUA BANDARI MPYA MTWARA AAGIZA UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE

▶︎
VIJANA WAPEWE NAFASI ZAIDI KOZI ZA UANAGENZI- MBUNGE MAPALILO

▶︎
