SIMANZI!!! TISA WAFARIKI DUNIA AJALI YA BASI, NOAH ROMBO

Watu tisa wamefariki dunia katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro baada ya gari dogo aina ya Toyota Noah kugongana uso kwa uso na basi la abiria Kampuni ya Ngasere. Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala amethibitisha kutokea ajali hiyo leo Alhamisi Desemba 26, 2024 ambapo amesema miili hiyo imepelekwa Hospitali ya Karume, wilayani humo. Mwangwala amesema majeruhi mmoja ambaye amesalia katika ajali hiyo amepelekwa hospitali ya Huruma kwa matibabu zaidi. "Kwenye Noah tumetoa miili tisa na yote tumeihifadhi Hospitali ya Karume, na majeruhi mmoja amepelekwa Hospitali ya Huruma," amesema. Mwangwala amesema chanzo cha ajali hiyo ni baada ya gari aina ya Noah lililokuwa likitokea Tarakea kulipita Fuso na kwenda kugongana uso kwa uso na basi la Ngesere lililokuwa likitokea Dodoma kuja wilayani humo.

AJALI YA WATU NANE AKIWEMO MTOTO WA MIAKA MIWILI SHUHUDA ALEZA NAMNA WALIVYO KUWA WAKIOKOA WATU
▶︎

AJALI YA WATU NANE AKIWEMO MTOTO WA MIAKA MIWILI SHUHUDA ALEZA NAMNA WALIVYO KUWA WAKIOKOA WATU

MAJERUHI WA AJALI ILIYOUA WATU 12 MBEYA, WAELEZA ILIVYOKUWA "TULISIKIA VITU VINAANGUKA"
▶︎

MAJERUHI WA AJALI ILIYOUA WATU 12 MBEYA, WAELEZA ILIVYOKUWA "TULISIKIA VITU VINAANGUKA"

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION
▶︎

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION

AJALI! BASI LA ABIRIA LAGONGANA USO KWA USO NA LORI LA MIZIGO! MMOJA AFARIKI, WENGINE 12 WAJERUHIWA
▶︎

AJALI! BASI LA ABIRIA LAGONGANA USO KWA USO NA LORI LA MIZIGO! MMOJA AFARIKI, WENGINE 12 WAJERUHIWA

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI
▶︎

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

Colombia vs. Portugal Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau
▶︎

Colombia vs. Portugal Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

ABIRIA ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KWENYE AJALI YA BASI WILAYANI MAGU, “DEREVA ASHIKILIWA"
▶︎

ABIRIA ZAIDI YA 40 WANUSURIKA KWENYE AJALI YA BASI WILAYANI MAGU, “DEREVA ASHIKILIWA"

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food
▶︎

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

SHUHUDA ASIMULIA 11 WALIVYOFARIKI KWENYE AJALI HANDENI
▶︎

SHUHUDA ASIMULIA 11 WALIVYOFARIKI KWENYE AJALI HANDENI

VILIO VYATAWALA AJALI ILIYOUA 11 TANGA
▶︎

VILIO VYATAWALA AJALI ILIYOUA 11 TANGA

HISTORIA YA MWALIMU ALIYEFARIKI NA MWANAE  WA MWISHO KWA AJALI YA BASI LA ESTER YAWALIZA WENGI
▶︎

HISTORIA YA MWALIMU ALIYEFARIKI NA MWANAE WA MWISHO KWA AJALI YA BASI LA ESTER YAWALIZA WENGI

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!
▶︎

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

AJALI YAUA WATU 11 TANGA, KAMANDA ASIMULIA "TUNAMSAKA DEREVA ALIYESABABISHA AJALI"
▶︎

AJALI YAUA WATU 11 TANGA, KAMANDA ASIMULIA "TUNAMSAKA DEREVA ALIYESABABISHA AJALI"

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA
▶︎

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA
▶︎

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

BARABARA TISA DAR KUFUNGWA KWA SIKU SITA, BAJAJI, BODABODA MARUFUKU
▶︎

BARABARA TISA DAR KUFUNGWA KWA SIKU SITA, BAJAJI, BODABODA MARUFUKU