RAIS MWINYI ACHEKA KWA KISHINDO WETE PEMBA BAADA YA KUJIZOLEA KADI ZA ACT KWA MKONO WAKE

RAIS MWINYI MKUTANO CCM MKOA KASKAZINI PEMBA (HABARI RAIS MWINYI MKUTANO CCM MKOA KASKAZINI PEMBA) RAIS MWINYI:TUMEAZIMIA KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk.Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali imeazimia kuifungua Pemba kiuchumi kwa kutekeleza ujenzi wa uwanja wa ndege wa Pemba , barabara za kutoka Chake hadi Mkoani, Chake hadi Wete, na bandari ya Wete, Shumba Mjini na Mkoani . Dk.Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe: 21 Agosti 2024 alipozungumza na Wajumbe wa Kamati za Siasa za Halmashauri kuu ya CCM ngazi ya Tawi, Wadi , Majimbo,Wilaya na Mkoa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba . Aidha Dk.Mwinyi amewahimiza wanachama wa CCM kuhubiria amani, umoja, mshikamano pia alitumia fursa hiyo kuwahamasisha wajitokeze kwa wingi katika kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la kupiga kura mwakani. Rais Dk.Mwinyi amesema ametekeleza vema ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 kwa kuvuka malengo ya ilani hiyo katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu, afya, barabara, masoko n.k. Halikadhalika Dk.Mwinyi ameeleza kuwa CCM itashinda kwa kishindo mwaka 2025 kwa sababu imetekeleza vema ilani na kuvuka malengo kwa walioyaahidi wananchi. Vilevile Dk.Mwinyi amesema awamu mpya ya mwaka 2025-2030 kasi ya maendeleo ya Zanzibar itakuwa ya hali ya juu. Dk.Mwinyi amesema Serikali kumaliza changamoto za miradi ya umeme na maji kipindi kilichobaki pamoja na kutekeleza ahadi zote zilizoahidiwa wakati wa kampeni za mwaka 2020. Kwa upande mwengine Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewapokea wanachama 85 kutoka Chama cha ACT Wazalendo Pemba walioamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.

Ziara ya Rais Mwinyi na mkewe Kojani, asema atawainua kimaendeleo Wakojani
▶︎

Ziara ya Rais Mwinyi na mkewe Kojani, asema atawainua kimaendeleo Wakojani

Mapokezi ya Waziri wa Mafuta Pemba
▶︎

Mapokezi ya Waziri wa Mafuta Pemba

ACT WAHAMA KWA KISHINDO WAINGIA CCM MAMBO NI MOTO PEMBA
▶︎

ACT WAHAMA KWA KISHINDO WAINGIA CCM MAMBO NI MOTO PEMBA

MZEE APIGIWA SIMU NA RAIS MWINYI IKULU ,ZNZ ALALAMIKA ,RAIS MWINYI AMPA KIBARUA KATIBU
▶︎

MZEE APIGIWA SIMU NA RAIS MWINYI IKULU ,ZNZ ALALAMIKA ,RAIS MWINYI AMPA KIBARUA KATIBU

ULINZI MKALI MSAFARA WA RAIS MWINYI UKIINGIA UWANJANI, WANANCHI WAPIGA SHANGWE KILA KONA
▶︎

ULINZI MKALI MSAFARA WA RAIS MWINYI UKIINGIA UWANJANI, WANANCHI WAPIGA SHANGWE KILA KONA

TAZAMA KIROBO WALIVYOWAVUNJA WATU MBAVU RAIS MWINYI NA WAZIRI MKUU MAJALIWA WASHINDWA KUJIZUIA
▶︎

TAZAMA KIROBO WALIVYOWAVUNJA WATU MBAVU RAIS MWINYI NA WAZIRI MKUU MAJALIWA WASHINDWA KUJIZUIA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

UTENZI WAMUACHA HOI DKT. MWINYI AKIWA PEMBA #MDtvznz
▶︎

UTENZI WAMUACHA HOI DKT. MWINYI AKIWA PEMBA #MDtvznz

RAIS MWINYI HABAR YA MJINI ZANZIBAR-SOKO LINAFAGIWA NA GARI SIO UFAGIO-PARK MPYA ENEO LA MAJI
▶︎

RAIS MWINYI HABAR YA MJINI ZANZIBAR-SOKO LINAFAGIWA NA GARI SIO UFAGIO-PARK MPYA ENEO LA MAJI

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO
▶︎

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

NADIR AUWASHA MOTO PEMBA,  AMVAA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS NA JUSSA
▶︎

NADIR AUWASHA MOTO PEMBA, AMVAA MAKAMU WA KWANZA WA RAIS NA JUSSA

PETER MSIGWA'S FIRE IS UNSTOPPABLE, HE'S UNTOUCHABLE, CLAIMS HE LEFT WITH CCM'S SECRET FILES, BLA...
▶︎

PETER MSIGWA'S FIRE IS UNSTOPPABLE, HE'S UNTOUCHABLE, CLAIMS HE LEFT WITH CCM'S SECRET FILES, BLA...

Makunduchi Festival (Mwaka Kogwa) 2021 | ZANZIBAR
▶︎

Makunduchi Festival (Mwaka Kogwa) 2021 | ZANZIBAR

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA
▶︎

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

MZEE BUBELWA AFICHUA UFUNGUZI HAURI KUDAI KUCHELEWESHWA KESI YA LISSU,MAPENDEKEZO TUME YA UCHUNGUZI
▶︎

MZEE BUBELWA AFICHUA UFUNGUZI HAURI KUDAI KUCHELEWESHWA KESI YA LISSU,MAPENDEKEZO TUME YA UCHUNGUZI

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

#ethiopia : የድሮን ጥቃቱ ምስጢር ወጣ! | አርሚ 17 ላይ አስደንጋጭ ምት! |  @ShegerTimesMedia
▶︎

#ethiopia : የድሮን ጥቃቱ ምስጢር ወጣ! | አርሚ 17 ላይ አስደንጋጭ ምት! | @ShegerTimesMedia

KUMEKUCHA KWA MARAYAKWANZA  RAIS MWINYI UZINDUZI MELI YA MAKONTENA MKOANI PEMBA
▶︎

KUMEKUCHA KWA MARAYAKWANZA RAIS MWINYI UZINDUZI MELI YA MAKONTENA MKOANI PEMBA

MTOTO WA MAMA SAMIA: SITAMANI KUONEKANA MTOTO WA RAIS / NAUMIA MZAZI AKITUKANWA, MWENYEKITI MIF
▶︎

MTOTO WA MAMA SAMIA: SITAMANI KUONEKANA MTOTO WA RAIS / NAUMIA MZAZI AKITUKANWA, MWENYEKITI MIF

🔴#TBCLIVE: HAFLA YA UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA JKCI
▶︎

🔴#TBCLIVE: HAFLA YA UZINDUZI WA BODI YA WADHAMINI YA JKCI