Wakulima wa Vanilla Kagera walia na bei

Wanunuzi wa Vanilla mkoani Kagera wametakiwa kujiepusha na utapeli kwa kutaka kununua zao hilo kwa bei ya chini na sasa watatakiwa kupitia Serikalini kabla hawajawafikia wakulima lengo likiwa ni kulinda bei kama anavyoeleza Nicolaus Ngaiza. #Vanilla #wakulima #Kagera #Bukoba Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM:   / azamtvtz   ►INSTAGRAM:   / azamsports2   ►TWITTER:   / azamtvtz   ►FACEBOOK:   / azamtvtz   ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz