#LIVE 🔴ACT WAZALENDO INAFANYA UCHAMBUZI WA RIPOTI YA CAG
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi. Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia: 1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira. 2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa. 3.Upatikanaji wa elimu bora. 4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote. 5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote. 6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu. 7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi. 8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza. 9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote. 10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

Scandal in Berlin! Alice Weidel accuses Merz of squandering taxpayer money

Citizen Vigilante | Germany bans release

🔴DIRECT Assemblée NATIONALE: Le PM Ousmane Sonko face aux députés

Democrazia addio? La fine della politica e le mosse per reagire

Denver Press Club and Colorado Politics Congressional District 1 candidates forum.

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

Climate Governance Forum 2026

"La guerra di Trump? Nelle nostre tasche: tra riarmo e finanza siamo il bancomat di Wall Street"

THE SEEING EYES-(ACCESSING THE GIFT OF SIGHT) WITH APOSTLE JOSHUA SELMAN

#LIVE 🔴LIVE KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA ZANZIBAR.

President, Julius Malema’s round table discussion on the Frank Dialogue

LIVE: Stop the budget's inflationary spiral / Cessez la spirale inflationniste budgétaire

හිටපු අමාත්යවරුන්ගේ නිල නිවාසවල දැන් වෙන දේ... සුනිල් වටගලගෙන් අපරාධ ලයිස්තුවක්...

What's the deal with the Iran deal? | feat. Lt. Col. (Ret.) Jonathan Conricus & Behnam Ben Taleblu

KONTRA #27 Rymanowski, Bartosiak, Bosak: Co dalej z Ukrainą?

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Proceedings of Thursday, 25th June, 2026

UBURUNDI BUGIYE KUGIRA AMABARABARA Y'AGATANGAZA (AYARI VIP BAZORIHA)|| AMASHURE ADASANZWE N'IBITARO

