MASKINI IBRAAH! Anajuta Kisa Zuchu Kwenye "Uhakika Remix" (Diamond Anachekelea?)
Maskini IBRAAH anajuta baada ya collabo yake mpya? Katika video hii, tunaiangazia clip inayosambaa kwa kasi ambapo mdau wa muziki anafunguka mazito na kudai kuwa Ibraah amejichimbia kaburi lake mwenyewe kisanii baada ya kufanya "Uhakika Remix" akiwa amemshirikisha Zuchu kutoka WCB Wasafi. Mchambuzi huyo anatoa hoja nzito akitolea mfano listi ya wasanii ambao waliwahi kufanya collabo na wasanii wa WCB au Diamond Platnumz na kuishia kupotea kwenye ramani ya muziki. Kuanzia sakata la Rich Mavoko, Lava Lava ambaye nyota yake imechukuliwa, Jay Melody baada ya collabo na Diamond, hadi wakongwe kama Mr. Blue na G Nako ambao nyota zao zilikumbwa na wasiwasi mkubwa. Je, kuna ukweli wowote kuhusu 'laana' hii ya WCB kuchukua nyota za wasanii, huku wachache kama Harmonize na Mbosso wakitajwa kufanikiwa kujinasua? Ukiangalia wimbo original wa "Uhakika" wa Ibraah ulikuwa unafanya vizuri sana, je, kulikuwa na haja ya kufanya Remix na Zuchu? Tazama mjadala huu mzito mwanzo hadi mwisho, na uone kwanini Diamond Platnumz anaonekana kuchekelea pembeni huku hatma ya muziki wa Ibraah ikiwa shakani.

Life in April 💕 | Celebrating Eid, Easter, Picking Up Amara from School & Everyday Moments

Ibraah Feat Zuchu - Uhakika Remix (Official Lyric Audio)

#UTACHEKA!ANKO T ASHUSHA KICHAMBO KWA MKWE WAKE BABALEVO MWEHU NIFFER ACHARUKA ZUCHU DIAMONDl

PASTOR EZEKIEL AVUNJA NDOA YA KIJANA ANAYEDANGANYWA NA MSHANGAZI AKINIACHA NITAJIUA KWELI

WASAFI MEDIA NI YA MAMA DANGOTE SIO YA DIAMOND/ MBOSSO NA IRENE UWOYA NI WAPENZI/ ZUCHU HANA MIMBA

MANENO YA UTATA YA CHIEF GOODLOVE YAZUA MJADALA

MTOTO WA MR.NICE AWAKUTANISHA DUDU BAYA NA BABA YAKE// TAZAMA KILICHOTOKKEA / KITAKUSHANGAZA

ONA MASTAA MBALIMBALI USIKU WA A LIST, HARMONIZE, MBOSSO, KAJALA,IRENE, WOLPER NA AUNTY EZEKEIEL

hapa ni kicheko tupu utacheka utupe rada

Kwanini Mahusiano ya Zari Yanavunjika? Siri ya "Laana" ya Ivan, Diamond na Shakib Cham!

RASMI..!! SKIA ALICHOSEMA DIAMOND PLATINUM KWA MALA YA KWANZA AFUNGUKA KUHUSU MTOTO WAKE NA ZUCHU.

SIMU INADONDOSHA NDEGE | IMETAFSILIWA KWA KISWAHILI

Ibraah - Uhakika (Official Lyric Audio)

MR NICE - "NILIKUWA TAJIRI KABLA YA MUZIKI, NI USHOGA TU NDIO SIJAFANYA"

UGOMVI MZITO! Mama Dangote Azua Mapya, Mtoto wa Zuchu Aleta Balaa! Zuchu kilio..!!

KAJALA ALIVYOUNGURUMA MBELE YA HARMONIZE NA MBOSSO, DULLA MAKABILA ATIA KIONJO IRENE UWOYA, WOLPER

Fahyma Amtukana Mke Wa Jux? Ugomvi wake na Paula, Pricy Ndani.

MBONEKE AMVUNJA MBAVU ALLY KIBA/HAWA WATU WAKIKUTANA MUDA WOTE NI VICHEKO TU/TUTAWAONYESHA UWEZO

OSTAZ JUMA NAMUSOMA ATAJUTA KUMTUKA SHEIKH KISHK

