MAAJABU YA CHEMCHEM YA MAJI MOTO UTETE

kama ulikuwa hujawahi fika nikuambie unachelewa Tanzania imejaaliwa vivutio vya kila aina kimoja wapo ni hii chemchem ya maji moto ilioko Rufuji Utete, maji hayo yanachemka mpaka kufikia nyuzi joto 90 unaweza kuchemsha mayai na hata mahindi maji yake ni salama kwa matumizi ya binadamu. nenda kashuhudie.