VIDEO HIZI ZILIZOSAMBAA FUJO FORODHANI ZNZ, PIKIPIKI ZA VIJANA ZILICHUKULIWA, CHANZO CHATAJWA
Kufuatia tukio lilosamba mitandaoni zikionyesha vijana wakionekana kwenye video wakiwa wanatembea katika maeneo ya Forodhani na kuelekea Mji Mkongwe Zanzibar video ambazo hazikufahamiki chanzo cha fujo hizo Ayo Tv imefika katika eneo hilo na kufahamu Kiini cha Fujo hizo Wakizungumza na Ayo tv Baadhi ya wafanyabiashara wa Mji Mkongwe Zanzibar wameeleza kua kumekua na utumiaji wa Nguvu kupitiliza kwa askari wa Mji Mkongwe na chanzo cha fujo hizo kilianza kwa mama mmoja ambae ni mfanyabiashara kuchukuliwa vitu vyake kwa nguvu na kumwagwa chini ambapo watu wa eneo hilo hawakukubali kitendo hicho Wamefafanua kuwa baada ya Jambo hilo vijana wenye hasira waliungana na bodaboda ambao vyombo vyao vimeshikiliwa na mamlaka hiyo na kwenda kuvunja kwa nguvu na kuchukua honda zao na Bajaji Akifafanua kuhusu kadhia hiyo Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar Mohamed Zahran Mohammed amesema tukio hilo limetokea siku chache baada ya Mamlaka kufanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya Mji Mkongwe na kutoa maelekezo ya kusitishwa kwa shughuli za biashara zinazofanyika katika maeneo yasiyo rasmi.

MAMA MZAZI ALIYECHEZA MBELE ya JENEZA LA MTOTO WAKE AFUNGUKA SABABU ya KUFURAHI BADALA ya KULIA

RC MJINI MAGHARIBI ATAKA WALIOHUSIKA NA VURUGU DARAJANI WAJISALIMISHE

CHEKI MZEE SHAYO ALIVYOMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA HADI RAIS MWINYI - UKUMBI MZIMA HOI...

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

England – DR Kongo Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

After Ngong Road/Naivasha Road Flyover, what next in a city with over 400 Key Road Junctions?

'SHANGAZI' AKANYAGWA NA BASI NA KUFARIKI PAPO HAPO MBELE YA MWANAE

TAHARUKI: MOTO WA AJABU WAZUA HOFU BWELEO ZANZIBAR.

Maelfu waondoka Afrika Kusini, maandamano dhidi ya wahamiaji yakiendelea. Katika Dira ya Dunia TV.

MPASUKO CHAUMMA: MABILIONI YAMNG'OA SALUM MWALIMU, APISHA UCHUNGUZI

MAKONDA AINGILIA KATI UGONJWA WA FELLA, ATOA KAULI “NITASIMAMIA HADI AKAE SAWA”

KIUNGO WA JKT WAHABI AMTEMBELEA PACOME HOSPITALI, GSM AMPELEKEA KOMBE LA UBINGWA

MKE WANGU ALIOGOPA WATU, UTANI WA ANKO ZALA, SIKUMLAZIMISHA, NILITUKANWA SANA

FULL PRESS | Ally Kamwe aunguruma kuhusu mipango ya Parade la ubingwa Yanga SC NBC PL 2025/26

RUNGWE AFUNGUKA SABABU ZA KUMNG’OA MWALIMU CHAUMMA “ALIJIPA MADARAKA YASIYO YAKE”

SHEIKH MWAIPOPO AMPASUA VIBAYA SANA USTADH JUMA NA MUSOMA "UMEINGIA CHOO CHA KIKE"

IRAN IMEFANYA KUFURU, NCHI NZIMA IMEFUNGWA NI MAOMBOLEZO KUELEKEA MAZISHI YA AYATOLLAH ALI KHAMENEI

Théogène Manirakiza avuga ko yabonye ibimenyetso by'uko ashobora kugirirwa nabi | BBC News Gahuza

