MAMBO UNAYOHITAJI KUJUA KUHUSU MIKOPO KWA NJIA YA SIMU

Je, umekuwa ukikopa fedha kupitia mitandao mbalimbali ya simu? Unafahamu faida na athari za mikopo hiyo? Winess Mmbando ni mtaalamu wa masuala ya fedha kwa njia za dijitali anaeleza zaidi mikopo inayotolewa na makampuni ya simu, faida na hasara zake.