MWAKA WA JUBILEI // Na. Fr. Mikael Nchembi // SHIRIKA LA MASISTA WA MARIA MTAKATIFU MALKIA WA AFRIKA

Karibu tuungane kwa pamoja kumshukuru Mwenyezi Mungu katika sherehe hizi za JUBILEI YA MIAKA 75 tangu SHIRIKA LA MASISTA WA MARIA MTAKATIFU MALKIA WA AFRIKA _ (MMMMA) lilipotambuliwa rasmi Roma mnamo mwaka 1949... Sherehe hizi zitafanyika Tar 9 / 12/ 2024 siku ya Jumatatu, ikitanguliwa na Misa Takatifu itakayofanyika Kanisa Kuu, Jimbo Katoliki la Sumbawanga. Waumini wote na wote wenye mapenzi Mema mnakaribishwa sana. Karibuni sana.... Audio & Video: Ave Maria Productions Mawasiliano: +255742226000 +255628794590