NAMNA NGUVU ZA GIZA ZINAVYOFANYA KAZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Nguvu za giza hufanya kazi kwa namna nyingi.Sio zote hukaa ndani ya mtu,zingine hufanya kazi zikiwa nje ya mwili.Na watu wa aina hii mara nyingi hata wakienda kuombewa huwa hawakutwi na pepo hata moja ila wakiangalia maisha yao wanaona kabisa kuwa kuna sehemu nguvu za giza zimeshikilia. Unataka kujua ni jinsi gani unatoka kwenye tatizo hilo?Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando. UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322 Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii Like our Facebook:   / therealityof.  . Follow our Instagram:   / realityofch.  . Subscribe our YouTube: https://www.youtube.com/channel/UC67L...