NIPUMZISHE ROHO YANGU By Beyond Kevinzz (Official Lyric Video)

mmmh.. oooh ,...aah beyond kevinzz mwendasafi beibe..... Verse 1 Mi na mapenzi basi, najipa nafasi ya kupoa, maana nishapambana sana, ila maumivu ndiyo nimeambulia. Aki moyo wangu basi, ulishadhulumiwa nanaa...! Aaah... Pre-Chorus Mmmh! Wewe... Subira nisubiri nami siku moja nifurahi, na wapi? Sijui nani aliyempata akambadilisha, aaah! Wenye pesa ndiyo wanajua pa kumshikia, mi ningeweza wapi? Mfa maji natapatapa, ananidhalilisha sana. Chorus Acha nipumzishe, nipumzishe roho yangu, nipumzishe roho yangu, nipumzishe roho yangu, nipumzishe roho yangu... Verse 2 Siku hizi msingi wa mapenzi hauna ramani hujui, anayependwa ni nani. Mwenye pesa? Mwenye show? Mwenye sura? Au mwenye bodi? Haya hanayo nikuta niliona zamani, mtu kiranga hatulii nyumbani. Mara Tipsi Koko, Kitambaa Cheupe, Mwendasafi analewa. Msiba usikie kwa jirani, hata matanga huyajui. Niliyoyabeba moyoni, nikampa yeye hajui. Pre-Chorus Subira nisubiri nami siku moja nifurahi, na wapi? Sijui nani aliyempata akambadilisha, aaah! Wenye pesa ndiyo wanajua pa kumshikia, mi ningeweza wapi? Mfa maji natapatapa, ananidhalilisha sana. Chorus / Outro Acha nipumzishe, nipumzishe roho yangu. (Aaah yeye...) Nipumzishe roho yangu, (anayebeba roho yangu mgongoni) Nipumzishe roho yangu, nipumzishe roho yangu. (Jamani, roho yangu...) (Mengine sisemi wazi.. aaaah...,. mwendasafi records beibe....!