Cheki bondia Mtanzania Salim Mtango alivyomtwanga Mthailand Surriya Tatakhun kwa TKO jijini Tanga

Bondia Salim Mtango amemtwanga Surriya Tatakhun kwa TKO raundi ya saba katika pambano la ubingwa wa UBO lililopigwa usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga. Baada ya ushindi huo, Salim Mtango amewashukuru Watanzania kwa hamasa yao huku akiahidiwa kupewa kiwanja.