St. Benedict Ndanda Cohas Choir- Hadithi ya Imani

Imani Katoliki tunayoiungama Katika Kristo ndiyo kiini cha Wokovu na Ukombozi wa Mwanadamu,ndiyo chanzo cha uzuri wa maisha ya sasa na maisha tuyatarajiayo baada ya maisha ya hapa Duniani! Imani hii tumerithishwa na Mababu zetu tangu wakati wa Agano la Kale na kuhitimishwa na Agano Jipya na Yesu Kristo mwenyewe! Karibu uusikilize na kuutazama wimbo huu unaoeleza hadithi za Imani ya baba zetu Wa Zamani Katika Agano la Kale,utusindikize katika kuutafuta Wokovu wa Milele! *Wimbo*-HADITHI YA IMANI *Mtunzi*-Emil Shayo *Kwaya*-CHUO CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI-PAROKIA YA NDANDA ,JIMBO KATOLIKI LA MTWARA *Audio&Video*-GLS Pro *Organist*-A.J.Myonga. Tafadhali tunakuomb a like*,*comment*,*Share na subscribe ili ujumbe huu mwema uwafikie wengi zaidi! MUNGU MWEMA ATUBARIKI SOTE! Get The Song On👇👇👇 https://linktr.ee/st.benedict_ndanda_...