MWANAFUNZI AJIFUNGUA CHOONI TABORA-RC CHACHA ACHARUKA
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameagiza kukamatwa kwa Bodaboda aliyempa mimba mwanafunzi wa shule ya sekondari Tabora Wasichana (Tabora girls), kuhamishwa kwa walimu wenye miaka zaidi ya 10 katika shule hiyo na kuchunguzwa kwa Daktari aliyemfanyia vipimo mwanafunzi huyo aliyejifungulia chooni. Awali Katibu tawala wa mkoa wa Tabora Dkt. John Mboya alisema tukio hilo limetokea mwezi February mwaka huu katika choo cha hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora-Kitete wakati mwanafunzi huyo alipoenda kupata matibabu. Mboya amesema baada ya kufika hospitali hapo mwanafunzi huyo aliomba kwenda kujisaidia chooni na ndipo alipojifungua na kukitelekeza kichanga chooni. Baadae wananchi wengine waliopita karibu na choo walisikia sauti ya kichanga na kukiokota. Baada ya uchunguzi ilibainika mwanafunzi huyo alijifungua na kumtelekeza huko na juhudi za madaktari zilinusuru maisha ya mtoto huyo. Mkuu wa mkoa wa Tabora, Chacha amesema haingii akilini mwanafunzi kuishi na hali ya ujauzito kwa miezi 9 shuleni bila walimu kugundua suala hilo nakuagiza hatua za kinidhamu zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuhamishwa kwa walimu waliokaa shuleni hapo kwa zaidi ya miaka10.

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WATUMISHI 3 NA MMILIKI WA ZAHANATI YA HOSSIANA KWA KULAZA WAGONJWA

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

TUKIO la AJABU! MWAMBA ATAKA KUMTAPELI MKUU wa MKOA TABORA - ANA LAINI 9 - KUFIKISHWA MAHAKAMANI..

Exposed! The Real Mission Behind Gachagua’s Luhya Tour & Why Ruto Is Losing Sleep | Lee Makwiny

DIWANI AINGIA KWENYE 18 ZA RC TABORA, "NANI MWINGINE ANAWASUMBUA HAPA?"

TAPELI ADUKUA MFUMO WA SERIKALI, AJIBU BARUA YA RAIS NA KUTAKA KUTAPELI KANISA MILIONI 15 - TABORA

SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

HISTORIA YAANDIKWA MILAMBO SEC. BAADA YA MIAKA 50 KUPITA, VIGOGO WALIOSOMA HAPA WAREJEA NA "AMSHA"

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Kwa uchungu BIBI mbele ya RC CHALAMILA aelezea chanzo cha ARDHI ya BABA YAKE kutapeliwa na wavamizi

The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School

WALIO KUWA WAKICHEZA UTUPU WAKAMATWA11

Historia, vivutio katika mji wa Tabora - sehemu ya 1

أذكار الصباح - راحة نفسية لا توصف بصوت القارئ علاء عقل | Morning Athkar - Dzkir Pagi by Alaa Aql

WAPENI UBINGWA WAO! YANGA HII YA MOTO 🔥 MNO! MUDA KAZALIWA UPYAA! MWAMNYETO...

JIONEE MWENYEWE BAADHI YA MAENEO NA MITAA MAARUFU YA MJI WA TABORA, SASA DALILI ZAONEKANA KUWA JIJI

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AWAMKALI,ATOA MSIMAMO BAADA YA WANANCHI KUDHURUMIWA HAKI ZAO

ALICHOKIKUTA WAZIRI MBARAWA KATKA KIWANJA CHA NDEGE TABORA

