REV. DR. ELIONA KIMARO: WAACHENI WATOTO WADOGO WAJE KWANGU, MSIWAZUIE

IBADA YA JUMAPILI YA SIKUKUU YA WATOTO NA MALAIKA - 01 OCT 2023. UJUMBE WA LEO : "WAACHE WATOTO WADOGO WAJE KWANGU" "MSIWAZUIE" "LET THE CHILDREN COME TO ME" "DON'T STOP THEM" Marko 10 : 13 - 16 13 Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. 14 Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao. 15 Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa. 16 Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabarikia. Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro Kwa maoni na ushauri: Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053