HUYU NDIYE LENGAI OLE SABAYA
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya akiwa na wenzake. ………………………………………………………………… Happy Lazaro,Arusha. Arusha.Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, mkoa wa kilimanjaro,Lengai ole Sabaya (34) na walinzi wake watano leo wapandishwa kizimbani mbele ya mahakimu wawili na kusomewa mashitaka sita ikiwepo ujambazi wa kutumia silaha ,utakatishaji fedha na uhujumu uchumi. Waendesha mashitaka wa serikali.Tumaini Kwema, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya hakimu mfawidhi Martha mahumbuga na Hakimu mkazi Mkuu Salome Mshasha walisema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo januari 20 mwaka huu na Februari 9,2021. Mwendesha mashitaka Mkuu,Kweka alisema Sabaya anatuhumiwa kuunda genge la uhalifu na kutenda makosa ya uhujumu uchumi na kujipatia fedha kwa njia ya rushwa. Ilielezwa ilijipatia fedha kiasi cha sh 90 million kutoka kwa mfanyabiashara Fransis Mroso mkazi eneo la kwa Mrombo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji Kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa. Makosa hayo alitenda na walinzi wake hao akiwepo,John Aweyo maarufu Kama Mike One,Enock Mnkeni(41). Katika makosa ya unyang’anyi wa kutumia Silaha Sabaya anashitakiwa na walinzi wake pia wawili Sylivester Nyengu(26) maarufu kicheche na Daniel Mbura(38) walitenda kosa la ujambazi wa kutumia silaha Februari 9, baada kumfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya sombetini na kumwibia sh 390,000. Katika tukio hilo lililotokea eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha Sabaya na walinzi hao pia wanatuhumiwa kumpiga mateke na kumtishia silaha na kumpora simu na fedha sh 35,000 Ramadhani Ayoub. Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu gereza kuu la Kisongo hadi June 18 kesi itakapotajwa tena.

UNAYOTAKIWA KUJUA KUHUSU LENGAI OLE SABAYA; KUTOKA UVCCM, U-DC MPAKA JELA

LIVE: Clouds 360 na Ole Sabaya/Natumia Ubabe Kupata Suluhu ya Wananchi/Huwezi Kumfurahisha Kila Mtu

Sabaya: Naomba msamaha wote niliowakosea, nami nimewasamehe

DC SABAYA Alivyomnasa MFANYABIASHARA na SHEHENA ya POMBE FEKI, USIKU wa MANANE...

MSAKO USIKU WA MANANE, SABAYA AVAMIA GODOWN HEWA AKUTA MAGENDO, PESA, MAFUTA NA POMBE

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

BREAKING:LENGAI OLE SABAYA AHUKUMIWA MIAKA 30 KWENDA JELA

"Parti Bi Diomaye Beug Créé Tudéko..." Cheikh Thioro Fait Des Révélations Choc Sur "La Palinodie"

KESI YA SABAYA: WANANCHI WAFUNGUKA MWANZO MWISHO/WAKILI ANENA HAYA "WALIFUNGWA PINGU"

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

DC SABAYA Amsweka Ndani Kapteni Wa JESHI ''Unajifanya Kichaa Mimi Kichaa Mwenzako''

HD VIDEO: RC ALLY HAPI AFOKA, TAZAMA ALIVYOAGIZA POLISI WAMCHUKUE MENEJA WA BENKI NA MWANASHERIA

Resignation, Diomaye's U-Turn...: Major Revelations from Cheikh Thioro Mbacké

LIVE:BREAKING NEWS PRESIDENT RUTO BLOCKED IN MERU TOWN BY DCP PARTY SUPPORTERS

SABAYA ALIVYOBANWA MASWALI NA MAWAKILI WA SERIKALI, AKATAA KUSHITAKIWA NA JAMHURI YA TANZANIA..

HECHE AONGEZEWE ULINZI, KAULI YAKE YATIMIA?, "CCM HAMUWEZI KUSHINDANA NA CHADEMA, MTAPASUKA KIFUA"

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

DC Sabaya awasha moto aagiza Mkurugenzi akamatwe kwa ubadhirifu wa Milioni 700

