MAHAKAMA YAAMURU VIWANJA VYA HOTELI VIUZWE ILI MILIONI 500 ZILIPWE KWA WAFANYAKAZI 238
Mahakama kuu Kanda ya Arusha,imeridhia kuuzwa kwa Mali za mmiliki wa hotel ya Impala na Naura Spring ikiwemo viwanja vinne ili kufidia malipo ya wafanyakazi 238 yanayofikia kiasi Cha zaidi ya sh,milioni 500. Akitoa hukumu hiyo jaji wa mahakama hiyo, Mohamed Gwae amesema baada ya mahakama kupitia pingamizi za mmiliki wa hoteli hizo akipinga uamuzi wa msajili wa mahakama kuu Kanda ya Arusha, masijala Ndogo ya kazi juu ya kuuzwa kwa Mali zake ili kufidia malipo ya wafanyakazi, ameona hayana mashiko

▶︎
HATIMAYE MALI ZA IMPALA NA NAURA ZAPIGWA BEI, TAJIRI ANUNUA KWA BILIONI 2..

▶︎
ZUIO LA MIKUTANO YA SIASA, RAIS WA TLS AFAFANUA KISHERIA, KATAMBI HANA MAMLAKA YA KUMUAGIZA IGP

▶︎
Dalin detaje tronditëse nga dosja “Aruba”. Dy pista të reja në ekzekutimin e Eglant Koçit…

▶︎
SIMANZI NZITO: VIFO Vya MABILIONEA ARUSHA, VIONGOZI wa SERIKALI WAOMBOLEZA...

▶︎
AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

▶︎
DAWA YA RUTO!! Listen to Matiangi Powerful Remarks today in Kirinyaga destroying Kasongo badly

▶︎
June 25, 2024 lives on in memory as Gen Z reflects on sacrifice, loss and resilience

▶︎
HOTELI YA BILIONEA MREMA ARUSHA ILIYOUZWA, VITU VYA NDANI VYAPIGWA MNADA "INAVUNJWA"

▶︎
J4 Bus Owner Sentenced to Death "He Killed Me and We Are Very Happy" - Brother

▶︎
KILIMO AJIRA YANGU, KILIMO CHA ZAO LA KOROSHO MKOANI SINGIDA 20.01.2018

▶︎
The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

▶︎
HOTEL YA NYOTA NNE YATANGAZWA KUFILISIKA, WAFANYAKAZI WAPUNGUZWA

▶︎
Tanzania, Look What Kind of Country It Is! Markets, Streets and Life 430 🇹🇿

▶︎
Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

▶︎
MNADA WAKUUZA VITU HOTELINI IMPALA WAINGIA DOSARI, WATU WAWEKWA NJE YA 'GATE'

▶︎
SAKATA LA MABOMBA KUTOA TOPE, WANANCHI WACHARUKA WAFUNGUKA MAJI KUKATWA, MADENI, VIONGOZI WANENA

▶︎
MAHAKAMA YAPIGA MNADA MALI ZA MWAJIRI ILI KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI (NSSF)

▶︎
SONKO FACE À DIOMAYE : Mais qui cherche donc la crise ? Live de Moustapha Diop

▶︎
Pse u arrestua Goxhaj dhe protestues të tjerë? Karamuço zbardh detajet! Nesër protestë te SPAK

▶︎
