BINTI LIVIA PART 02 - SIMULIZI YA MAPENZI - By Ankojay

mara mlango ulifunguliwa aliingia mme wangu,mm hapo nimelala nilistuka,hakeem akasema eheee nini kinaendelea hapa?jesse akasema nilikua namsaidia she.... unamsaidia nn? hujui huyu mke wa mtu? nilikua naskia sana sana habari zako sasa leo nimejionea bwanamdogo mm ni makatili hujapata kuona…..