Bavicha (CHADEMA) - "Hatuogopi Kufa, Jaribuni Kuifuta Chadema Muone"
Bavicha (CHADEMA) - "Hatuogopi Kufa, Jaribuni Kuifuta Chadema Muone" Kaimu mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA), Patrick Ole sosopi, amezungumza na waandishi wa habari leo Machi 31 katika makao makuu ya chama hichi Kinondoni jijini Dar es Salaam. Katika mkutano wake huo, Ndugu Ole sosopi, amezungumzia kuhusiana na kesi inayowakabili viongozi wa juu wa chama hicho mbao hivi sasa wapo rumande, akiwemo Mwenyekiti wao Freeman Mbowe na viongozi wengine watano waandamizi ambao ni, Katibu Mkuu Vicebt Mashinji, Peter Msigwa, John Mnyika, Ester Matiko na Salum Mwalimu. Ndugu Ole Sosopi amesema, Chadema wanaijua mikakati inayopangwa juu ya kukifuta chama hicho, na wameshavumilia sana hivyo wametoa onyo na kubainisha kuwa wapo tayari kwa lolote hata kama litagharimu maisha yao wapo tayari. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

HARMONIZE ALIVYOMLETEA UTANI TAJIRI BAKHRESA MBELE ya RAIS SAMIA - ''MTAANI WANANIITA BAKHRESA''...

MMOJA AFARIKI, SABA WAJERUHIWA KWA MLIPUKO WA BARUTI | RPC MUTAFUNGWA AFUNGUKA

SPIKA ZUNGU AWAJIBU WANAOSEMA BUNGE ni DHAIFU - AFUNGUKA KUHUSU SERIKALI...

MPINA NI KAMA HECHE NA LISSU TU AFICHUA TUHUMA NZITO KUHUSU UFISADI ''WATANZANIA WAMEIBIWA"

CHEKI MZEE SHAYO ALIVYOMVUNJA MBAVU RAIS SAMIA HADI RAIS MWINYI - UKUMBI MZIMA HOI...

Okulonda kwa Bassentebe b’Ebyalo Kutuuse, Minisita Balam ne Hon. Nameere Balabudde Abatuuze

Miria Matembe Cries To Chief Magistrate Over Severe Tortures by Gen Muhoozi’s Security Forces

"KWANGU MUHIMU SIO CHADEMA WALA CCM - SIKUSITA KWENDA KUMUONDA PROFESSOR JAY" - MAKONDA

🔴 LIVE : සටන |Satana 30.06.2026 #Asksatana

🔴#LIVE: CHADEMA WANAUNGURUMA MUDA HUU KAHAMA MAELFU WAFURIKA KWENYE MKUTANO

Seriake Dickson Speaks On NDC Registration Status, Legal Battles + More | Sunday Politics

Simba SC 1-0 KMC FC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026

🔴#Live: ZAWIYA AFICHUA SIRI za MAISHA ya WATANZANIA NCHINI INDIA /UKWELI wa MAAJENTI-MADAM na WATOTO

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

Frankreich – Schweden Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

🔴#LIVE: BELGIUM VS SENEGAL (KOMBE LA DUNIA 2026)

MARIASPACES: SIRI IMEVUJA MIPANGO YA ULINZI MAANDAMANO77 WANAHARAKATI WATOA MSIMAMO(MWIGULU,KATAMBI)

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka

HECHE AFUNGUKA HATIMA YA LISSU GEREZANI.

