DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 28.04.2026 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast
Karibu katika Dunia yetu leo Jioni ++Viongozi wa Mataifa ya Guba wamekutana mjini Jeddah Saudi Arabia, kujadili mzozo unaoendelea katika kanda hiyo uliosababishwa na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran ++ Jeshi la Urusi limeonya kuwa waasi wanaotaka kujitenga wa Tuareg, na wapiganaji wa jihadi waliouteka mji muhimu wa Kidal, wanaendelea ''kujipanga upya'' kwa ajili ya mashambulizi mengine ++Nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inang’oa nanga usiku wa leo, ikifungua ukurasa mpya wa hadithi mbili tofauti lakini zenye msisimko mkubwa barani Ulaya #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliPodcast /Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 29.04.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 09.06.2026 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast

Je, Tanzania iko tayari kwa maridhiano | DW Kiswahili Maoni

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 08.06.2026 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 09.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 09.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

#BREAKING: HECHE AVUNJA UKIMYA - AZUNGUMZA MAGUMU kwa VIJANA wa VYUO VIKUU TANZANIA..

WAKIRI NJERI MAINA KŨHINYIA CIA CIIRA WA RIGATHI GACHAGUA

Rais wa Urusi akataa ombi la mwenzake wa Ukraine, la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana.

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 08.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast

Kwa nini raia wa Afrika Kusini hawataki wageni wa mataifa mengine? Katika Dira ya Dunia TV

AMKA NA BBC - JUNI 08' 2026

Mataifa duniani hayatokuwa tayari kumuona Trump akiongeza ugumu wa maisha

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 06.05.2026 | JAsubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

GPS: Marekani, Israel wajipanga kushambulia tena, IRAN yajibu ‘mtajuta’, Bei ya Mafuta juu

GPS: Makombora ya IRAN yashuka Dubai, Mvurugano waongezeka Hormuz, meli zashambuliwa, Trump atisha

Marekani yamuwekea vikwazo Kabila kwa kuunga mkono waasi DRC, katika Dira ya Dunia TV

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Mei 05, 2025 | Jioni | Swahili Habari leo | Podcast

