Ujumbe Muhimu kwa Mwombaji na Mhubiri || Pastor Ulenje || Moyo wa Maombi #rohomtakatifu
Karibu tuendelee kujifunza SIKU 100 ZA KUJIFUNZA KUHUSU ROHO MTAKATIFU na Hili ni somo la 04/100 Ni somo muhimu sana naamini litakuinua na kukufanya kuwa shujaa wa imani; na utaweza kusimama kwenye zamu yako kuleta ukombozi kwenye familia na ukoo wako; na Mungu atakutumia sana si tu kwa familia bali hata kwa kizazi cha leo; wengi wataokolewa kupitia wewe. Leo tunajifunza kuhusu ROHO WA BWANA; Yesu anasema; Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa, Lk 4:18 Utaona nini Yesu amemaanisha; na wewe unawezaje kuwa na Roho wa Bwana na akakutumia kufungua waliofungwa, na kuleta ukombozi wa familia, ukoo wako na generation ya sasa; na kupajenga mahali polipobomoka; na hapo ndipo penye nguvu ya maombi. Karibu Kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp Kwa link hii hapa chini; https://whatsapp.com/channel/0029VbAc... Kuwasiliana na Pastor Ulenje +255 683 477827 +255 794 352533 [email protected] MUNGU AKUBARIKI SANA Karibu kusikiliza #maombi #maombiyausiku #maombiyasiku #rohomtakatifu #nenolamungu #nenolaleo #swahili #upakolive #mchungaji #mtume #nabiidris #tanzania #kenya #uganda #congo #yesu #mafundishoyabiblia #mafundisho #pastorsunbellakyando #pastor

Kuna VITU havitakutoka mpaka uingie katika MAOMBI ya VITA || PR DAVID MMBAGA

MAOMBI YA ASUBUHI :: NGUVU YA JINA LA YESU

KUNA NYAKATI TATU MUHIMU ZA KUWA MACHO NAZO, UNAPOKUWA UMEOKOKA

MUHIMU: Namna Roho Mtakatifu Anavunja Vifungo Vyote | Pastor Ulenje | Moyo wa Maombi

FAHAMU NGUVU YA MAOMBI USIKU WA MANANE.

FANYA HAYA UNAPOPITIA MAGUMU MAISHANI | Pr.David Mmbaga |

🔴ሀጢአት መስራት አቁሙ! | STOP SINNING! - PROPHET TILAHUN TSEGAYE #jesus #protestantreformation #habesha

IBIHE VYOSE BIRI MU KIGANZA C'IMANA || CHRIS NDI KUMANA

🔴#Live: Uliza MASWALI Unapokuwa Kwenye SHIDA || Pr.Japhet Magoti || 19/11/25 || NJIRO, ARUSHA

TUMIA MBINU HIZI | KUCHUMA BARAKA KUTOKA KWA WAZAZI | Pr.David Mmbaga |

IMANA YAKOZE BIRIYA NIBINDI IZABIKORA REKA KUGIRA UBWOBA || Pastor SENGA Emmanuel

(SOMO) HEKIMA ZA UFALME WA GIZA ZINAVYO FANYA KAZI KWENYE MAISHA YA WATU

UMUHIMU NA JINSI YA KUJENGA NGUVU ZAKO ZA NDANI - PST GEORGE MUKABWA | 23/06/2022

ISHI KUSUDI LA MUNGU - PR PETER JOHN

AKIRA GUSENGA KWIHUTISHA IBISUBIZO -- Inyigisho NZIZA na Pst SENGA EMMANUEL

MAKOSA YANAYOFANYIKA KATIKA MAOMBI || PR. DAVID MMBAGA

YESU HAJAWAHI KUCHELEWA | Powerful Swahili Sermon – KWABENE Delphin

Jinsi ya kulijua kusudi la MUNGU la kuzaliwa kwako (Sehemu ya 1) - Mchungaji Carlos Kirimbai

USINIPITE BWANA - DEEP RELAX SWAHILI WORSHIP SONGS

