Wakazi wa Njiru, Chokaa na Mihango wasema watalipa familia ya Kirima
Mamia ya wakazi wa maeneo ya Njiru, Chokaa na Mihango wanaoishi ndani ya shamba la aliyekuwa mwanasiasa Gerishon Kirima wameanzisha mazungumzo ya kulipia vipande vyao vya ardhi ambavyo wanaishi. Runinga ya Citizen imedhibitisha kuwa familia 900 zinazoishi ndani ya shamba hilo zimeelezea nia yao ya kulipa shilingi laki tatu kwa ploti. Haya yanajiri huku viongozi wa makanisa wakitaka serikali kuu kuingilia kati na kufanya majadiliano kama ilivyofanyika katika shamba la Waitiki ambapo mmiliki alilipwa shilingi bilioni 1.2 .

▶︎
Askofu Bagonza Atoa Tafakari Nzito: Hali ya Siasa, GEN-Z na Tunapoelekea

▶︎
Statehouse Shakes As Olkalou People Return Ruto's GOK Mattresses, Hail DCP's Kamau

▶︎
| TONIGHT | 9TH JULY 2026

▶︎
WATCH: Lawyer Ndegwa Njiru Arrested, Then Released After DPP Drops Charges

▶︎
Kwa nini ACT-Wazalendo wameungana na CCM kuunda serikali Zanzibar? Katika Dira ya Dunia TV.

▶︎
Wakili Nyalusi Asimulia Alivyohojiwa Kwa Kutetea Walioshitakiwa Uhaini

▶︎
Lawyer Ndegwa Njiru Shouts 'One Term' After Being Arraigned in Court

▶︎
Finally Sifuna's Linda Mwananchi gives way forward on Sifuna's 2027 presidency as Ruto gets worried🔥

▶︎
"I'm From Kisii & We're Not Stupid!" Sen. Onyonka Explodes at Lote: "Follow Arati at Your Own Risk!"

▶︎
Rais Trump asema leo usiku Marekani itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

▶︎
Kirima family win 7-year land ownership case as settlers given notice to leave

▶︎
Othman Masoud: Maridhiano si kwa Faida ya Vyama vya Siasa Tu, Tuungane kwa Ajili ya Zanzibar

▶︎
Kile kilifanya nikuje gereza ni marafiki...LIFE IN PRISON 1|| KAMITI MEDIUM PRISON || JAMII YETU

▶︎
RAIS DKT. SAMIA AKISHUHUDIA TAMKO LA PAMOJA LA MARIDHIANO YA KISIASA BAINA YA CCM NA ACT, ZANZIBAR

▶︎
Justine Nameere makes another strike leaving Parliament in shock as Ssenyonyi responds to SONA

▶︎
Senate Erupts as Cherargei & Sifuna Put Tharaka Nithi Governor Under Intense Pressure!

▶︎
Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

▶︎
OL KALOU BY ELECTION: Ruto BRIBES Residents with gas cylindes electricity |Plug Tv Kenya

▶︎
Limuru: Wanakijiji waibua maswali baada ya ajuza kuzikwa asubuhi mapema bila jamaa kuhusishwa

▶︎
