Makamu wa Kwanza wa Rais afanya ziara majumbani kuwaona wagonjwa na wenye mahitaji maalum
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, amesema kuwa Ramadhani imekuja ili kujenga umoja, maridhiano na mshikamano miongoni mwa watu, sambamba na kupata fursa ya kubaini changamoto halisi zinazowakabili wananchi. Mheshimiwa Othman ameyasema hayo leo, Milimani-Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi ‘B’ akikhitimisha ziara yake maalum, aliyoianza mwanzoni mwa Aprili 2022, ya kuwafariji na kuwapa pole wafiwa, wajane, wagonjwa na watu mbali mbali wasiojiweza, katika Mikoa yote Mitatu ya Unguja.

▶︎
MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOMKOSHA MAMA YAKE, AKIZUNGUMZA KWENYE UZINDUZI WA TAASISI YA 'MIF'..

▶︎
RAIS MWINYI NDANI YA STUDIO ZA WASAFI ZANZIBAR BAADA YA KUZINDULIWA RASMI

▶︎
RASMI ZNZ KUANZA UJENZI BARABARA ZA JIJI LA ZNZ MALINDI, MNAZI MMOJA PATAKUA HIVI, BIL 50.8 KUTUMIKA

▶︎
ALICHOKISEMA IGP MSTAAFU SIRRO KUHUSU RPC ABWAO

▶︎
MAMBO SASA MAZURI TAZAMA HALI YA KIWANJA KIPYA CHA NDEGE HUKO NUNGWI ZANZIBAR

▶︎
MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU Mhe OTHMAN MASOUD OTHMAN MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR.

▶︎
Inside Little Mogadishu 🇸🇴 in Uganda🇺🇬, Somali City Away From Somalia 🇸🇴

▶︎
Chifu Othman alivyorejea nyumbani Zanzibar, akitokea Tanzania Bara katika ziara yake ya siku sita.

▶︎
#LIVE: MAKABURINI MWILI WA RPC ABWAO UKIPELEKWA KWAAJILI YA MAZIKO

▶︎
VIDEO TAZAMA RAIS MWINYI ALIVYOINGIA ZEC KUCHUKUA FOMU YA URAIS WA ZANZIBAR

▶︎
Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
MAPOKEZI YA OMO TOMONDO NI BALAA.

▶︎
MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

▶︎
Mtu akiingia serikalini kwa njia ya wizi, hawezi kuwasimamia wezi mwenziwe-OMO AKINUKISHA BUMWINI

▶︎
ZANZIBAR: BARABARA KILOMITA 100 ZAANZA KUJENGWA MJINI MAGHARIBI, RC KITWANA AFUNGUKA

▶︎
WAZIRI AINGIA MZIGONI MWENYEWE ISHU YA WATALII KUKATA BIMA ZNZ, ATAKA WATALII WASIPATE USUMBUFU

▶︎
ZIARA MAALUM YA MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MHE. OTHMAN MASSOUD OTHMAN KISIWANI PEMBA

▶︎
Hitimisho la Ziara ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Nchini Hispania.

▶︎
