Asilimia 95 ya wagonjwa wa shinikizo la juu la damu hawana dalili, asilimia 5 uumwa kichwa

Ugonjwa wa shinikizo la juu la damu husababisha kiarusi, moyo kutanuka, kuziba kwa mishipa ya damu ya moyo na kifo. Ni muhimu watu wakapima afya zao mara kwa mara ili kutambua msukumo wao wa damu mwilini