Commonwealth preparations focus on Benson Gicharu

Imesalia miezi mitano mashindano ya jumuiya ya Madola yaanze nchini Scotland. Hapa nchini wanamichezo mbalimbali wanaweka mikakati kuona kuwa watanawiri katika mashindano hayo. Benson Gicharu ni bondia aliyeshinda Fedha katika makala yaliyopita nchini India, na safari hii anajua kuwa atanawiri zaidi huku ikizingatiwa kuwa atashiriki katika Uzani wa bantum kinyume cha uzani wa unyoya aliyoshiriki mwaka 2010. George Ajowi alipata fursa ya kujiunga naye mazoezini na kuandaa taarifa ifuatayo.