UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI KIBIASHARA I ANZA NA MTAJI MDOGO
#kuku #kukuwakienyeji #chiken #hen UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KIBIASHARA Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni miongoni mwa shughuli zilizozoeleka katika jamii yetu. Hauhitaji gharama kubwa. Unaweza kuanza na mitetea miwili na jogoo mmoja kulingana na ukubwa wa mtaji wako. Mitetea yako ikianza kutaga kusanya mayai. Watakapotamia watamishie endapo haujui tafuta mtu atakaye kusaidia kutamishia kuku wako. Wakitotoa watunze vifaranga vizuri. Idadi ya kuku zako itaongezeka kadri unavyozidi kutamishia kuku JINSI YA KULEA VIFARANGA Nunua pumba laini kwaajili ya vifaranga Maji ya kunywa changanya na alovera kwa kukatia vipande vidogo kisha changanya wawekee kwenye chombo kisafi. Maji hayo yenye alovera yatawakinga kuku na magonjwa nyemelezi. Badilisha maji kila baada ya masaa 3 hadi 6 Usiwe na tamaa ya nyama za kuku wala mayai. Kuwa na malengo thabiti kuwa baada ya muda fulani uwe na idadi kubwa ya kuku. Ukifikia malengo anza kuuza kiasi kidogo cha mayai na baadhi ya kuku hasa majogoo ili ujiingizie kipato. MFANO WA JINSI YA KUTAYARISHA CHAKULA CHA KUKU 1. Pumba ya mahindi 30kg 2. Mashudu ya alzeti 3kg 3. Cotton 2kg 4. Calcium 1kg 5. Dagaa 2kg 6. Polland 2kg 7. Paraza 3kg 8. Chokaa 1kg 9. Premix (robo) JANE NNKO

Anza na MATETEA 10, Jogoo 2, ndani ya Miezi 5 utazalisha kuku 200

Ukisikia Ufugaji Unatajirisha NIKWELI Usibishe !! Dada Aliamua hadi Kuacha Kazi TBL

Siri ya Kuongeza Kuku wa Kienyeji Haraka (Kutoka 10 hadi 100 ndani ya Mwaka!)

KIJANA MWENYE NDOTO ZA KUWA BILIONEA KWA UFUGAJI WA KUKU

Uhuru wa Kiuchumi Kupitia Kuku Watano

“Kwa Nini SASSO ni Chaguo Bora Kwa Wafugaji? Fahamu Siri za Kuku Huyu Hodari!

UFUGAJI WA VIFARANGA VYA KUKU I JIFUNZE KUFUGA KISASA I EPUKA HASARA

MILIONEA MWANAMKE ALIYEACHA KAZI YA KAMPUNI NA KUANZA UFUGAJI WA KUKU NJOMBE

UFUGAJI WA KUKU UNALIPA I PIGA PESA KWA MTAJI MDOGO

Ukisikia Ufugaji UNATAJIRISHA Ni kweli Usibishe, KIJANA Anaingiza Mamilioni y Pesa.

Siri ya Mafanikio: Ufugaji wa Kuku Nusu Huria

WAZO HADI BIASHARA:UFUGAJI KUKU ULIVYOBADILI MAISHA YA VEROMAKUKU

JINSI YA KUWA MILIONEA KWA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KUPITIA FORMULA YA 3+3

KANUNI BORA ZA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI KIBIASHARA

KUKU WA KIENYEJI Ili WAKULIPE ZAIDI Fanya Yafuatayo

MSOMI ALIYETOBOA KIMAISHA KUPITIA UFUGAJI BAADA YA KUKOSA AJIRA

Mbinu ya Kisayans ya Kuku wa Kienyeji Kuangua Vifaranga Kwa Pamoja/Siri Wanayoficha Wafugaji Wakubwa

The Best Organic Poultry Farming Process Today - Organic Poultry Farm

🐔 Ukitaka Kutajirika Maeneo ya Mjini – Fuga Kuku wa Kienyeji

