Mwili wa Askari wa TAWA aliye uwawa na Majangili Katavi aagwa/Tamko kwa Serikali waliohusika

#NEWS Askari wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania (TAWA) James Chacha Karomba aliyeshambuliwa na kuuawa na Watu wasiojulikana wakati akitekeleza majukumu yake katika Pori la Akiba la Inyonga Mkoani Katavi,Mwili wake umeagwa leo,Inyonga Wilaya ya Mlele na kusafirishwa kuelekea Foti Ikoma Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara. #TukutaneSite #TukutaneKazini