Mt. Joseph Bunju Walivyoshuka Jukwaani kwa Shangwe | TUFURAHI NA KRISTO MFUFUKA - Mivumoni

Hivi ndivyo Kwaya ya Mt. Joseph Bunju walivyoimba wimbo wao wa mwisho na kushuka jukwaani kwa shangwe na furaha kubwa, huku wakiendelea kumsifu na kumtukuza Mungu. Mungu ahimidiwe daima. 🙏🏾 #MtJosephBunju #TufurahiKristoMfufuka #Mivumoni #KwayaKatoliki #SifaKwaMungu #GospelTanzania