TCCIA YAPELEKA FURSA YA KILIMO CHA MIHOGO KWA AJILI YA SOKO LA CHINA KATA YA KWALA
Chemba ya wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) yapeleka Frusa ya kilimo bora cha Mihogo katika Kata ya Kwala wilaya ya kibaha vijijini mkoani Pwani ikiwa ni pamoja na kununua zao hilo kutoka kwa wakulima. Zao la muhogo ni muhimu sana Tanzania, zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya mihogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Kwa siku za karibuni, muhogo unaongoza kwa kuongezeka katika umaarufu kuliko mazao yote ya chakula nchini. Watalaam wanazungumzia umaarufu wa muhogo kuwa ni (pamoja na mambo mengine) uwezo wake wa kustahamili hali ya hewa mbaya kama ukame na mvua zisizoaminika, kutoa mazao mengi kwa eneo na kustahamili mashambulizi ya magonjwa na wadudu. Hata hivyo uzalishaji wa mihogo kwa eneo bado ni wa viwango vya chini mno. Zipo sababu nyingi zinazo sababisha kuwepo kwa hali hii kama vile: Ukosefu wa mbegu bora za mihogo za kutosha Wakulima kuendelea kungangania mbegu zao za asili kuliko mbegu bora licha ya uzalishaji mdogo na kushambuliwa na magonjwa na wadudu. Ukosefu wa masoko ya kuaminika ambayo yangeshawishi wakulima kulima mbegu za kisasa ambazo zimeandaliwa kibiashara. Wakulima wengi kutotumia teknolojia sahihi za usindikaji ambazo ni mbinu mbadala za hifadhi za asili. Kwa muda mrefu tatizo kubwa la zao la muhogo ni ukosefu wa teknolojia ambazo zina uwezo wa kuongeza thamani wa muhogo kama chakula chenye ubora kwa familia za mijini na vijijini. Vikundi mbalimbali vya uzalishaji na usindikaji vimeundwa na muhogo umeanza kuthaminwa kwani unga wake unatumika kutengenezea vyakula kama maandazi, chapati, chichili, keki na vingenevyo vingi. Ugali wa muhogo umeongezeka thamani kutokana na ubora wa unga uliosindikwa kwa kwa teknolojia ya kisasa. Madhumuni ya Makala hii ni kutoa maelekezo juu kilimo bora cha zao la muhogo ili kusaidia wakulima kuinua viwango vya ubora na wingi wa mazao hivyo kujihakikishia usalama wa chakula na kujiongezea kipato. ########################### KilimochaMihogo #TCCIATanzania #TCCIACHINA

Kupanda Muhogo Draft

Kilimo cha zao la muhogo

KILIMO AJIRA YANGU, KILIMO CHA ZAO LA KOROSHO RUVUMA 18.11.2017

Heche Awatabiria Waliofanya Mauaji Oktoba 29 Kukutana na Yaliyomkumba Mnazi Hitler na Wafuasi Wake

KILIMO CHA MUHOGO KIBIASHARA, MASHIMO 4000, KIROBA, KIPUSA, CHEREKO | Kilimopro

KIWANDA CHA MUHOGO LINDI

BIBI wa SUMBAWANGA amvaa WAZIRI MKUU MWIGULU kwa madai haya MAZITO "sitaki kiwanja nataka hela"

HIZI NDIZO HATUA MUHIMU ZA KILIMO CHA ZAO LA UFUTA

Kilimo cha Mihogo/Cassava Farming Part B || AKILI SHAMBANI

UFUTA BEI JUU WAKULIMA WATAKIWA KUZINGATIA UBORA ILI KUENDANA NA MAHITAJI YA SOKO.

AZAM TV - China yafungua soko la Muhogo kwa wakulima wa Tanzania

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

PATA ZAIDI YA MIL. 10 KWENYE KILIMO CHA MIHOGO

Mwanamke anayemiliki kiwanda cha kusindika unga wa muhogo

Embeera ya Lukwago etisizza Frank Gashumba n'akaaba, asabye Gen MK amusonyiwe, ky'akoze Hon Tayebwa

GPS: HEZBOLLAH wasabababisha majanga ISRAEL, IDF yajibu kwa NGUVU, ‘Lebanon ichomwe moto’

MAKAMPUNI YA KUUZA MUHOGO YALIVYOONGEZA AJIRA NA SOKO LA ZAO MUHOGO

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire

Farmer's Idea of Inventing an Electric Bicycle! Will Surprise Everyone

