Kiswahili - Elimu ya watu wazima - Somo la 5: Ngeli ya a - wa

(Mwalimu Rehema) Ngeli ya a-wa inahusu nini? Ni nomini zipi ziko katika ngeli ya a-wa? Inahusu majina ya viumbe wenye uhai. Mifano: watu, wanyama, ndege n.k Leo tutajifunza matumizi ya ngeli ya a-wa. English Translation; What does a-wa mean? Which nouns are in the a-wa gender? It refers to the names of living creatures. Examples: people, animals, birds etc Today we will learn the use of the a-wa verb.