WAZIRI MKUU ANAKAGUA UWANJA WA NDEGE WA SUMBAWANGA

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 8, 2026 anakagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Sumbawanga mkoani Rukwa. Mheshimiwa Waziri Mkuu ameanza ziara ya kikazi katika mkoa wa Rukwa.