KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOZI ZANZIBAR KIMEFANIKIWA KUOKOA MALI ZA TSH BILLION MOJA.
MOTO MOMBASA TAREHE 03/ 07/ 2024 Moto mkubwa umeteketeza ghala moja la kuhifadhia vifaa mbalimbali na kupelekea hasara ya kuungua baadhi ya vitu, ambavyo thamani yake inakisiwa zaidi ya shilingi za kitanzania million mia moja . Tukio hilo limetokea majira ya saa tisa na robo jioni maeneo ya Mombasa kwenye Ghala la kamupuni ya Hassan Group of Campanies, ambayo inamilikiwa Ibrahima Hassan Radha, ambapo moto huo umepelekea kuunguza vifaa vya michezo ,mipira ya gari pamoja speya za vyombo vya moto. Kikosi cha Zimamoto na Uokozi kimefika eneo la tukio mara baada ya kupata taarifa na kufanikiwa kuuzima moto huo kwa mashirikiano ya kituo cha zimamoto mjini na zimamoto mwanakwerekwe pamoja na wafanyakazi wa kamupuni hiyo. Akithibitisha juu tukio hilo Msaidi Mkuu wa Kituo cha zimamoto na Uokozi Mjini ASF Khalfani Suleiman Pandu amesema wamepokea taarifa na kufika eneo la tukio na kufanikiwa kuuzima moto huo ili usilete athari zaidi na kueleza chanzo cha moto ni uchomwaji wa taka karibu na ghala hilo pamoja na hayo amewaasa wananchi mara tu wanapoona majanga kupiga simu zimamoto 114 kwa kuweza kufika haraka kwenye tukio ili kuepusha janga lisilete athari zaidi. UP SOUND………………. Mmiliki wa Ghala hilo Ibrahim Hassan Radha amekishukuru Kikosi cha zimamoto na Uokozi kwa kufika kwa wakati na kufanikiwa kuuzima moto huo pamoja na kuviokoa vitu mbalimbali vilivyomo kwenye ghala hilo . UP SOUND………………… Kikosi cha zimamoto na uokozi kifanikiwa kuokoa mali mbalimbali katika ghala hilo ambazo thamani yake zaidi ya shilingi za kitanzania billion moja .

AJALI YA MOTO ILIYOMUUA BIBI ZANZIBAR, ZIMAMOTO WATINGA ENEO LA TUKIO, WATOA KAULI HII..

ZANZIBAR: ASKARI AFARIKI, MOTO UKITEKETEZA GHALA YA MAFUTA...

ZAECA ZANZIBAR WASHAURIWA KUA NA KAULI ZA HESHIMA KWA VIONGOZI AFISA ELIMU AFAFANUA

GHALA MOJA LATEKETEA KWA MOTO NA MAWILI KUNUSURIKA MAENEO YA MTONI.

UFUNGUZI WA MAFUNZO YA UONGOZI WA KATI.

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

MWAFAKA WAIVA ZANZIBAR,SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA (SUKI) MBIONI KUREJEA

Pazito! AGIZO LA KATAMBI LAPASUA VICHWA | KIGOGO ATEMA NONDO NZITO

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO

HUDUMA ZA MATIBABU ZASITA KITUO CHA AFYA SEBLENI, CHANZO UKOSEFU WA MAJI

Genius Invention by a 60-Year-Old Plumber! 7 Free Recycling Ideas from Plastic Mesh & Old PVC Pipes

UPOKEZI WA MAGARI MAPYA YA ZIMA MOTO NA VIFAA VYA MAOKOZI PEMBA

My Crazy First Impressions of ZANZIBAR! Africa’s Paradise Island Where Millionaires Vacation

MTU MMOJA AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUTUMBUKIA KISIMANI

Living in ZANZIBAR | Life of people behind Africa's Most Famous Paradise | 4K

MAMLAKA YA MJI MKONGWE YAWABANA WAFANYABIASHARA HOLELA DARAJANI

NAIBU KAMISHNA AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO NA WAKATI MTS HANYEGWA MCHANA

MAEGESHO YA MAGARI YAENDELEA KUBORESHWA MJI MKONGWE

