MR MANGURUWE AMEYATIMBA- SERIKALI YATOA TAMKO - "ANAPOTOSHA - AMEVUNJA SHERIA''....
MR MANGURUWE AMEYATIMBA- SERIKALI YATOA TAMKO - "ANAPOTOSHA - AMEVUNJA SHERIA".... Bodi ya nyama Tanzania (TMB) imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazotolewa na mfanyabiashara maarufu anayejiita Mr maguruwe kuhusu ufugaji wa nguruwe unaofanyika katika kitongiji cha Zamahelo kata ya Zanka Wilaya Bahi Mkoani DodomaSERIKALI YATAHADHALISHA KUHUSU MR NGURUWE AMEVUNJA SHERIA, ANAPOTOSHA.. Bodi ya nyama imemsajili mfanyabiashara huyo kama mfugaji mdogo wa nguruwe na kwa mujibu wa kanuni za bodi hiyo mfugaji mdogo wa nguruwe anatakiwa kuwa na nguruwe wasiozidi 49 Kaimu Msajili Bodi ya nyama Tanzania John Chasama ameyazungumza hayo leo mara baada ya kutembelea eneo la shamba la nguruwe la mfanyabiashara huyo (Mr Maguruwe) "Mr Maguruwe amekuwa akitoa taarifa kwa watanzania kuwa wawekeze kwenye shamba lake la nguruwe jambo hilo sio sawa kwa kuwa kundi la usajili ambao amesajili ni kundi la wafugaji wadogo ambalo lina ukomo idadi ya nguruwe wanaotakiwa wanaotakiwa kuwa shambani" Jishindie Zawadi na Global TV Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV 👉🔥👉https://forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

MABAUNSA WAVAMIA NYUMBA ya MJANE wa MCHUNGAJI MTIKILA - KISA MKOPO wa MILIONI 250 ALIOMDHAMINI MTU

Inside the Charmin Factory: From Wood Logs to Toilet Paper (Full Process)

ALI KAMWE AWAPIGA VIJEMBE SIMBA KIPIGO CHA FOUNTAIN GATE, KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE WEKA TUWEKE

Je..! una mtaji mdogo kufuga Nguruwe? zingatia haya

BILIONEA MULOKOZI ATOA AHADI kwa FAMILIA YA MFANYAKAZI WAKE ALIYEFARIKI BAADA YA KUMPA CHEO KIPYA..

Rahby || Mvutano mzito waendelea kati ya Netanyahu na Trump

ALIKAMWE ACHAFUKWA AIJIBU KAULI YA MANGUNGU YA WAO WANAFANYA MAIGIZO BAADA YA KUMPASUA FOUNTAIN GATE

Nguruwe Anaweza Kukupa Milioni 1 Ndani ya Miezi 6? Ukweli wa Kitaalamu

Ufugaji wa nguruwe wa kitaalamu

BARAKA YANGA AIBUKIA ARUSHA AVURUGWA na USHINDI wa YANGA-HII NDIYO YANGA TUNAYOIJUA SIKUWA UWANJANI"

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

HECHE ASHUSHA NONDO NZITO NACHINGWEA ATOA HOTUBA NZITO "TUPO TAYARI"

INKA 4 ZIMWINJIRIZA ASAGA 960,000 KUKWEZI

''WACHEZAJI WANAKOPEWA - WIZARA HAWANA BAJETI ya KUGHARAMIA TIMU'' - MBUNGE....

HECHE AFICHUA SAKATA LA MILIONI 900 ZA CHADEMA ZILIZORUDISHWA | ATOA SOMO KWA KIGOGO WA CCM

بادية الصومال | Miyiga Soomaal

€1200 NET PER MONTH RAISING 250 HENS: I DISCOVERED THIS COMPANY

NAMNA YA KULISHA NGURUWE

Geellii Australia ee la layn jiray oo imika manaafacaadkiisii la bartay

