SERIKALI YAUKOSOA MPANGO WA UFUNGAJI MGODI WA BUZWAGI
Na George Binagi-GB Pazzo Serikali imeitaka kampuni ya Acacia kuandaa na kuwasilisha haraka mpango mpya wa urejeshaji mazingira katika hali yake ya kawaida baada ya kusitisha shughuli za uchimbaji dhahabu katika mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama ifikapo mwaka 2020. Naibu Waziri wa Madini, Doto Biteko aliyasema hayo jana alipofanya ziara katika mgodi huo kukagua shughuli zinazoendelea mgodi hapo. Mapema mwaka huu pia Wizara ya Madini ilitaka mpango uliokuwa umeandaliwa na kampuni hiyo kuboreshwa ambapo ulikadiriwa kutumia dola milioni 18 kurejesha mazingira ya mgodi wa Buzwagi katika hali ya kawaida, ikisema mpango huo haukujumuisha kufukiwa baadhi ya mashimo mgodini hapo (tazama picha), bali yabaki wazi hadi yatakapojaa maji katika kipindi cha miaka 100 ijayo.

TANZANIA YAANZA UZALISHAJI WA VIPURI VYA MIGODINI NA VIWANDANI

MP Millie Odhiambo: I HEAR PEOPLE TELLING ME I'M JEALOUS OF GLADYS WANGA, WHAT WILL SHE GIVE ME?

Aangua kilio kwa UCHUNGU mbele ya MAKONDA, Wauguzi wa hospitali ya Kahama wamuomba hela

Inside the Charmin Factory: From Wood Logs to Toilet Paper (Full Process)

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

BREAKING: Gachagua's dangerous plan shakes Ruto

Incredible Process of 24k Pure Gold Extraction From Old PC RAM | How to Make Gold Into RAM

Mali za Mgodi wa Buzwagi kupigwa mnada

JPM alivyomsamehe Mkurugenzi aliyenunua gari la kifahari Kahama

''We don't need any lesson from BBC or anyone else" - President KAGAME

State House in Panic? Opposition Unveils 2027 Agenda After Gachagua's Impeachment

Mahojiano maalum na Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Acacia - Buzwagi

Trump says the U.S. will hit Iran "hard," but also reiterates he wants a deal

🔴#LIVE: THE MINISTER OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY, HON. PROF. ADOLF MKENDA PRESENTING THE...

BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E15) Kahama inakimbia kimaendeleo

Waziri Mkuu alivyofika mwenyewe mgodini Buzwagi kukagua mchanga wa dhahabu

RC HAPI AKITATUA MIGOGORO YA ARDHI MKOANI IRINGA

🔴#Live: KIMENUKA KAHAMA! MAKONDA ATINGA KWA KISHINDO - ANAJILIPUA AKISIKILIZA WANANCHI...

🔴#LIVE: THE MINISTER OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY, HON. PROF. ADOLF MKENDA PRESENTING THE...

