We sold human body parts just for money! -part one.

Anafahamika kama Jayzel Isindu Ifedha ! Anakusimulia jinsi wenyeji wa jiji la Nairobi walikoseshwa amani na kundi alilokuwa amejiunga nalo la ujambazi! Kitakachokushangaza hata na zaidi ni kusikia baadhi ya waliokuwa washirika wake katika ujambazi huo! Mungu hubadilisha watu.