ONYO la DK NCHIMBI - "CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI" - AWAONYA WALIOANZA KUJIPITISHA MAJIMBONI
ONYO la DK NCHIMBI - "CCM HAITAVUMILIA WANAOKIUKA KANUNI" - AWAONYA WALIOANZA KUJIPITISHA MAJIMBONI... Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia zisizo halali, akisisitiza kuwa chama hakitasita kuwaengua wale watakaokiuka Katiba, Kanuni na maadili ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa makatibu wa matawi na kata kutoka Wilaya ya Dodoma, Balozi Nchimbi alisema baadhi ya wanachama wameanza kampeni kabla ya muda rasmi kwa kutumia mbinu kama kuanzisha mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), kufadhili matukio ya kijamii kama kumbukumbu za misiba na sherehe za ndoa, pamoja na kushinikiza vikao vya chama kuwapitisha bila kupingwa... SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 https://bit.ly/3MraYdQ ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

🔴#LIVE:ZUIO MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA LAIBUA MJADALA/VYAMA VYAHOJI/NINI KINAFUATA?/KUHOJIWA/KAMATI

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

VIDEO: NONDO ZA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KWENYE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA...

Hotuba Nzito ya Jaji Warioba Akitaka Mwafaka wa Kitaifa Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

TUKIO LA KUSHITUA KWENYE MKUTANO WA CCM, MBUNGE AJILIPUA RAIS SAMIA KUGOMBEA TENA URAIS

"CCM KUNA WATU HAWATAKI RAIS SAMIA AGOMBEE URAIS, HAWAJAKUBALI UTEUZI WAKE" MUSIBA

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

MAPOKEZI YA DKT NCHIMBI SONGEA NI KUFURU AONESHA UWENYEJI WAKE MBELE YA RAIS SAMIA | AONGEA MAZITO

Rais Kikwete alipoendesha vikao vya CCM vya uteuzi wa Mgombea Urais Dodoma

LIVE : HECHENA MCHUNGAJI MSIGWA WANAUWASHA MOTO IRINGA MJINI

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

BREAKING: WAKILI MADELEKA AZUNGUMZA MAMBO MAZITO MUDA HUU!

UTURUKI na ISRAEL HAPATOSHI! ZATUPIANA MANENO MAKALI - ZAVURUMUSHIANA SHUTUMA NZITO HOFU YATANDA..

Fahamu Historia ya Dkt Emmanuel Nchimbi Mgombea Mweza wa Rais Samia 2025, Atoa Neno la Shukrani

Alichokisema Tundu Lissu baada ya CCM kumchangia Sh5.3 milioni

WAZIRI MKUU:WANASEMA ALITEKWA,HII NI MICHEZO,HAIJA ANZA JANA

MH WAZIRI MKUU NIMECHOMEWA MOTO GARI YANGU NA TRA

